Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Ndiooo. Sababu kwa tambo za kikosi chenu na kile kijiushindi naiona ni bahati tu ile. 😀😀😀Yamekua hayo tena!? Eti tuna bahati, hahahaaaaa. Yale mashambulizi tuliyofanya mwanzo mwisho hukuyaona Shadeeya ?
Ushasahau kua ulipinga na kama mkeka ushachanika 😀😀😀