Kombe la Mapinduzi: KMKM vs Simba SC, Januari 06, 2019 | Simba yashinda 1-0

Kombe la Mapinduzi: KMKM vs Simba SC, Januari 06, 2019 | Simba yashinda 1-0

Ile nafasi ya kolibaly bora angecheza manara. Kapombe anahitajika mapema sana. Alafu timu inacheza taratibu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Katembeze bakuli la michango. Tokea lini umekuwa kocha?
Kambadili mropoka ovyo aliyemfukuza mvuta bangi.
Uko uchi unajitia kocha.Kilichokukimbiza wewe nini?
 
Unyonge wa nini ilhali Cleoutus Chama ananipa Yoweeee! Nilisema mwanzo kuwa mechi hii kwa wachezaji ni 'Match Fitness', angalia post zangu za hapo awali

Acha kuvamia kambi aisee. Kwanza leo ilikuwa siku ya Viungo kule Zenji. Yaani Vitunguu, Nyanya, Karoti, pilipili huku Nyama zikipumzika

Sasa mbona mtesekeka...!
Mbona unaandika kwa unyonge yakhe ushindi ni ushindi tu ila kwa Zana tumepigwa changa la macho yakhe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona huwa mnakojolewa kila siku?
Miaka 2 na nusu mkitoa droo mnafanya maandamano. Kuwala nyie kiboga sio suala la mjadala bali ni suala la muda tu.Hata Zahera anajua ndio maana kaanza kuwatayarisha kisaikolojia. Ohh natamani wachezaji wa Simba.
 
Miaka 2 na nusu mkitoa droo mnafanya maandamano. Kuwala nyie kiboga sio suala la mjadala bali ni suala la muda tu.Hata Zahera anajua ndio maana kaanza kuwatayarisha kisaikolojia. Ohh natamani wachezaji wa Simba.
Bruh, ushabiki wako ni wa matusi. Naona na mimi naelekea huko, kwa hiyo tuishie hapa.
 
Mbona unaandika kwa unyonge yakhe ushindi ni ushindi tu ila kwa Zana tumepigwa changa la macho yakhe
Zungumzia kuliwa kiboga na Azam.Sisi tumeshafuzu semifainali bila hata kucheza mechi ya tarehe 8.
Wewe weweseka na hali yako. Vipi michango?
Desemba yote elfu 70000?
Wavuta bangi wenzako wameshapatana?
 
Back
Top Bottom