Kombe la mapinduzi kwanini penati waliyopewa simba kwa Azam haikuwa sawa?

Kombe la mapinduzi kwanini penati waliyopewa simba kwa Azam haikuwa sawa?

Mimi baada ya lile tuta ni kaondoka zangu Nyumbani. Yaani kipa kutoka nje ila anatabia za wacheza ndondo wa mitaani.
Mimi ni Simba ,Azam walitubana,yule kipa alipofanya ule upuuzi tuta ikawekwa na goli ikafungwa nilitoka kwangu kuwakera mtaani kwamba mechi imeisha ,mechi ilikuwa 50/50 sikudanganyi yeyote alikuwa anafungwa,nilikaa kwa presha ,nilipoona ule ujinga wa kipa wa Azam nikasema nashukuru mechi imeisha,Ile ni clear na tv inacheza reply,labda waliopo uwanjani ndo wabishe maana wanaangalia no reply umegeuka nyuma unasikia foul hata hujaona.Yule kipa aliwacost azam 💯 ,Simba tulishakuwa na presha mechi ngumu
 
Mimi ni Simba ,Azam walitubana,yule kipa alipofanya ule upuuzi tuta ikawekwa na goli ikafungwa nilitoka kwangu kuwakera mtaani kwamba mechi imeisha ,mechi ilikuwa 50/50 sikudanganyi yeyote alikuwa anafungwa,nilikaa kwa presha ,nilipoona ule ujinga wa kipa wa Azam nikasema nashukuru mechi imeisha,Ile ni clear na tv inacheza reply,labda waliopo uwanjani ndo wabishe maana wanaangalia no reply umegeuka nyuma unasikia foul hata hujaona.Yule kipa aliwacost azam 💯 ,Simba tulishakuwa na presha mechi ngumu
Kuna wengine sababu mpira hawajui, yaani pale hata kipa angepewa nyekundu ni sawa,sema refa kaamua kuwa fair kutoa tuta na kumwacha aendelee kucheza,kwani alicheza rafu ya kihuni na ya kipuuzi,ambayo imewagharimu Azam.
 
ile ni penati au siyo penati? Kama siyo penati eleza kwanini halafu tujadili Simba inabebwaje?
That was a mutual fair play.Hata kwenye biblia ya kikristo na katiba pia ya JMT imeandikwa"In case of danger you have a right to protect yourself" sasa haijaelezwa ujiprotect kwa kiwango.Ndo maana jamaa hapa amejadili recklessly speed ya Sakoh towards kwa golikipa and imagine keepa angeingia kingi pale leo wangekuwa wote mochwari.Ilisaidia sana keeper kujihami kimtindo ndo ikawa spidigavana kwa Sako.Pale refa alitakiwa kubalance mzani na kazi iendelee kutokana na pressure ya mchezo wenyewe
 
That was a mutual fair play.Hata kwenye biblia ya kikristo na katiba pia ya JMT imeandikwa"In case of danger you have a right to protect yourself" sasa haijaelezwa ujiprotect kwa kiwango.Ndo maana jamaa hapa amejadili recklessly speed ya Sakoh towards kwa golikipa and imagine keepa angeingia kingi pale leo wangekuwa wote mochwari.Ilisaidia sana keeper kujihami kimtindo ndo ikawa spidigavana kwa Sako.Pale refa alitakiwa kubalance mzani na kazi iendelee kutokana na pressure ya mchezo wenyewe
Kwahiyo mpira unachezeshwa kwa kufuata mafundisho ya biblia pamoja na maelekezo ya katiba ya JMT ?

NB: Kwa sheria na kanuni za mpira wa miguu, kitendo kile kinaadhibiwa kwa penati KILA SIKU, KILA SAA, KILA DAKIKA.
Ile ni penati kama unafahamu au haufahamu sheria (za mpira).
Ni penati kama unapendezwa au kutokupendezwa na adhabu hiyo.

Sehemu pekee ambako tukio lile haliadhibiwi kwa penati, labda ni huko kwenye "pira biblia" au kwenye "pira katiba".
 
'Speed Ya Sakho Kuelekea Kwa Kipa ndio inayoonesha Sakho alikuwa na dhamira mbaya dhidi ya Kipa'...!
Ama Kweli Utopolo mnajua Jinsi ya Ku ' figure out' tukio mnataka Kiendane na mnavyotaka iwe.
Hamna namna Mapnduzi Cup 2022 Imeisha...! Ukitaka Kujiuliza tena ilikuwaje kuwaje ? basi jiandae Kwa 2023..!
Huyu jamaa mleta uzi angekua Jaji Mahakamani angekua Jaji wa Michongo. Sheria inasema vingine yeye anaamua vingine.

Kwamba zile studs(njumu) za Kipa zingekita vizuri kwenye kifua cha Sakho zingeweza hata kusababisha kifo yeye haoni badala yake anaingia "kusoma ubongo" wa aliyeathirika kua eti kule kukimbia kwake alitaka kucheza rafu!!!!
 
Kwani speed ya POS ilikuwa inahatarisha kudhuru mwili wa Kigonya? Je POS alionyesha kutaka kudhuru mwili wa kipa? kama naye angenyanyua mguu kugusana my be kwa mawazo ya refa ingekuwa 50/50, na kipi kwanza kinachokufanya UTESEKE Dada Kabwili- utopolo au mchomeko wa ile miko 9?
 
Yaani umeingia mpka kichwani kwa sakho ukafika kwenye ubongo wake ukajua dhamira yake ni kumgonga kwa nguvu kipa mpaja apelekwe mochwari.? Haji manara hakukosea utopolo wenye akili ni wawili tuu. Unaumia ukiwa wapi kwani ?
 
Dhamira ya mchezaji sakho kwa kipa wa Azam haikuwa Safi. Kama kigonya asingejilinda kwa mguu wake huenda Leo hii angekuwa Yuko mortuary. Speed ya sakho kuelekea kwa kipa ilikuwa kubwa sana hata pale alipoona kipa ameshaudaka mpira. Alidhamiria kwenda kugongana na kipa hata kama mpira uko mikononi mwa kipa tayari. Kwakuwa sakho alikuwa Yuko kwenye apeed kubwa kuelekea kwa kipa aliyesimama it is obvious that kipa ndiye alingeuiwa kwenye hatari zaidi ya kuumia kuliko mshambuliaji.

Bahati mbaya waamuzi wameiona zaidi Dhamira ya kipa dhidi ya mshambuliaji kuliliko ile dhamira ovu ya mshambuliaji dhidi ya kipa.

Tunabenana hata kwenye mashineano ya hivi?

1: Nani alikuwa na dangerous play/mchezo wa hatari kwa mwingine?
20220116_074307.png


-Hapa spidi haijatajwa kabisa na refa hakuiona kama shida.

-Unatoaje adhabu ya kufikirika, wakati opponent ametenda kosa ambalo liko wazi kwenye sheria?

-Kusisitiza, si lazima upige teke, kitendo cha kunyanyua mguu ukitaka kupiga teke mwenzako kinatosha kukupa adhabu. Hata kama haukumgusa.

- kitendo cha kumrukia mwenzio hata bila athari, chatosha kuchukuliwa kama kosa, hata kama ukimkosa/hujamgonga.

2:Adhabu ni nini?
20220116_074655.png


3: Eneo la pelnati ni lipi?
20220116_075523.png
 
That was a mutual fair play.Hata kwenye biblia ya kikristo na katiba pia ya JMT imeandikwa"In case of danger you have a right to protect yourself" sasa haijaelezwa ujiprotect kwa kiwango.Ndo maana jamaa hapa amejadili recklessly speed ya Sakoh towards kwa golikipa and imagine keepa angeingia kingi pale leo wangekuwa wote mochwari.Ilisaidia sana keeper kujihami kimtindo ndo ikawa spidigavana kwa Sako.Pale refa alitakiwa kubalance mzani na kazi iendelee kutokana na pressure ya mchezo wenyewe
Speed ya sakho ilikuwa ya mishale na mikuki si ndiyo,ndo maana akaweka mguu si ndiyo

Ile hahihitaji VAR moja kwa moja ni red card ,kipa amehatarisha afya ya mchezaji halafu unaleta upumbavu na ushabiki wako wa kijinga hapa

Kipa kama aliona kuna kuvaana pake angempa mwili na hiyo inaruhusiwa. Unampa mwili kwa kubana mikono kifuani ,sasa mtu anadaka mpira unanyenyua mguu juu ili umuumize mwenzako ili iweje

Wewe unaleta story za primary hapa kuwa kipa anaruhusiwa kukanyaga akiwa eneo lake
 
Ungekuwa ndugu yangu wewe ningebadilishana na gunia la ufuta,ubongo wako una kamasi ,hopeless kabisa
Speed ya sakho ilikuwa ya mishale na mikuki si ndiyo,ndo maana akaweka mguu si ndiyo

Ile hahihitaji VAR moja kwa moja ni red card ,kipa amehatarisha afya ya mchezaji halafu unaleta upumbavu na ushabiki wako wa kijinga hapa

Kipa kama aliona kuna kuvaana pake angempa mwili na hiyo inaruhusiwa. Unampa mwili kwa kubana mikono kifuani ,sasa mtu anadaka mpira unanyenyua mguu juu ili umuumize mwenzako ili iweje

Wewe unaleta story za primary hapa kuwa kipa anaruhusiwa kukanyaga akiwa eneo lake
 
Yuko sawa kivipi? Kwani sakho alitaka akimbie hadi wapi wakati tayari Alisha karibia kipa ambae tayari ameudaka mpira? Ni kitu gani ambacho kingemzuia kigonya asigongwe na sakho pale?
Ww utopolo tangu lini ukawa mchambuzi wa mpira hebu toa kwanza mwiko nyuma ndo uje tujadili kwa nn ulifungwa 9 na azam
 
Mechi ya Simba na Azam Ila utopolo ndo mnajifanya wachambuzi wakati mlipigwa goli 9 mechi moja .

BTW Ile ni mechi inakwaje goal kipa wa Azam aweke mguu vile Kama punda
Hahahaha....eti km punda
 
Kwahiyo angemwacha sakho amgonge? ALICHOKIFANYA KIGONYA KWA SAKHO NI NATURAL REFLEX TU KWA KILA KIUNGO CHA MWILI KUUEPUKA KUUMIZWA.MACHO, MIKONO NA MIGUU INATABIA YA KURESPOND HARAKA KAMA KUNA MOVEMENT AMBAZO NI HATARI KUELEKEA KWAKE.

He
Jamaa unatetea vizuri hadi unashawishi kabisa
 
Back
Top Bottom