Kombe la mapinduzi kwanini penati waliyopewa simba kwa Azam haikuwa sawa?

Yuko sawa kivipi? Kwani sakho alitaka akimbie hadi wapi wakati tayari Alisha karibia kipa ambae tayari ameudaka mpira? Ni kitu gani ambacho kingemzuia kigonya asigongwe na sakho pale?

wewe utabaki kuwa Utopolo tu
 
Kipa hakutakiwa kunyanyua mguu kiasi kile,ile ni recklessness na ni kosa.Self defense haitakiwi kumtumia nguvu kubwa zaidi ya adui au hatari iliyoko mbele yako.
 
Mimba kapigwa Azam , kichefu chefu na kutapika anatapika utopolo
 
Mechi ya Simba na Azam Ila utopolo ndo mnajifanya wachambuzi wakati mlipigwa goli 9 mechi moja .

BTW Ile ni mechi inakwaje goal kipa wa Azam aweke mguu vile Kama punda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu muda ungeutumia kung'oa mwiko nyuma ingekuwa bora zaidi kuliko kuandika pumba kama hizi ambazo hazina faida yoyote katika tasinia ya mpira
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani kombe lipo jangwani au msimbazi?
Jibu Hilo swali ndo utajua kwanini umeandika ivo
 
Kujilinda ndio kosa, angemkwepa tu
 
Magoli ya Simba kwenye fainali na Azamu yapo sawa ila wachezaji wanaurakini fulani,sio bure. Morison Songea, Sakho Zanzibar
 
Bado unateseka hadi leo?
Utakufa na kisukari
 
Kilochonishangaza, eti kocha wa Azam alishanhaa alipoona refa anatoa penalty
 
lakini uwanjani zinatumika sheria za mpira wa miguu, sio vifungu vya maandiko matakatifu. Biblia inasema mpende jirani yako, lakini ushindi unamkera jirani yako, pia inakataza uongo, lakini Morrison na Sakho wanapiga chenga za kudanganya, na hata Kagere alimdanganya Kigonya kwa kupiga upande mwingine
 
kipa alishadaka mpira ,hakukuwa na haja ya kutegesha mguuu, either angemkwepa Sakho na angeguswa Sakho anapata kadi na mpira unapigwa kuelekea upande wa Simba,alishadaka tayari ,mguu ulikuwa wa nini?
Kama mpira ulidhadakwa sakho alikuwa anaenda wapi kwa kukimbia? Mguu wa kigonya ni mrefu kiasi gani kiasi Cha kumfikia sakho? Inamaana Sako alikuwa anataka kumvaa kipa.
 
Hatari iliyokuwa mbele yake ilikuwa kubwa sana kama asingejilimda dhahama kubwa isiyoweza kukadiriwa ingemfika kipa. Haifahamiki sakho angemgonga kigonya sehemu gani na kigonya angeumia kiasi gani.
Kipa hakutakiwa kunyanyua mguu kiasi kile,ile ni recklessness na ni kosa.Self defense haitakiwi kumtumia nguvu kubwa zaidi ya adui au hatari iliyoko mbele yako.

Kuna wengine sababu mpira hawajui, yaani pale hata kipa angepewa nyekundu ni sawa,sema refa kaamua kuwa fair kutoa tuta na kumwacha aendelee kucheza,kwani alicheza rafu ya kihuni na ya kipuuzi,ambayo imewagharimu Azam.
Ingekuwa sawa refa asingechelea kutoa adhabu, ingekuwa straight penati na kadi, ukiona refa anaseek opinion ujue kulikuwa na tatizo.
 
Ile penati kaka 100%.
 
Jamaa unatetea vizuri hadi unashawishi kabisa
Hata jicho litafumba haraka sana kama inzi analikaribia jicho, mikono itakinga kama Fimbo inakaribia uso, miguu itakunyuka kama sakho anakaribia mwili wa kigonya. Eti kipa asubiri kwanza akumbwe na sakho ili watu waone kama ameumia au la, huu ni upuuzi wa kiwango Cha lami. Prevention is better than cure.
 
View attachment 2083655
wewe utabaki kuwa Utopolo tu
Hii ni tofauti kidogo, kigonya hakumpiga teke sakho ila sakho alikwenda kukutana na mguu wa kigonya ulionyanyuliwa. Yaani alicho kifanya kigonya ni kuweka hewani mguu wake na sakho akaukuta mguu akauvaa. Sakho alipaswa kupunguza speed ya kukimbia pale alipomkaribia kipa na hasa baada ya kuona mpira umeshadakwa 100% na kipa. Maana kama kipa angeutema ule mpira au mpira ungekuwa hewani sakho angekuwa sahihi kwenda kuvaana na kipa. Lakini sakho alitaka kumgonga kipa bila sababu ya msingi.
 
Sakho na Kanoute unaweza kujua kwanini hawakwenda timu za Ulaya kucheza mpira. Kanoute na sakho wanacheza mpira wa kulazimisha bila kujali afya za wachezaji wengine. Kama marefa wangekuwa fair hawa Wachezaji wangepata kadi nyekundu kila mechi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…