University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Hey members!!
Pata shika linaendelea uko kombe la mapinduzi Zanzibar ambapo YANGA SC wanakichapa na Rambaramba za Ice cream FC.
Azam FC wanapata bao la (1) kwanza kutoka kwa Chirwa dakika ya 33".
Azam FC tena wanajipatia bao la (2) kutoka kwa atta dakika ya 44"
Muda mapumziko dakika 45 za mwanzo.
Mpira unaendelea dakika ya 60" Chirwa anaifungia azam FC goli la 3.
Dakika ya 79 YANGA 0 Azam FC 3.
Dakika 90 zimeisha YANGA 0-Azam FC 3.
Pata shika linaendelea uko kombe la mapinduzi Zanzibar ambapo YANGA SC wanakichapa na Rambaramba za Ice cream FC.
Azam FC wanapata bao la (1) kwanza kutoka kwa Chirwa dakika ya 33".
Azam FC tena wanajipatia bao la (2) kutoka kwa atta dakika ya 44"
Muda mapumziko dakika 45 za mwanzo.
Mpira unaendelea dakika ya 60" Chirwa anaifungia azam FC goli la 3.
Dakika ya 79 YANGA 0 Azam FC 3.
Dakika 90 zimeisha YANGA 0-Azam FC 3.