kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,451
- 2,059
FT 4GNi ishadungwa 3-0.Dakika ni ya 80,...Hakuna hata dalili ya kupata hata bao 1 la kufutia machozi...WaTz njooni mtoe vyura vyenu huku.
Tuombe radhi Taifa! Hao walikua wanawakilisha badge ya Yanga sio Tanzania, ko wamehiabisha badge ya Yanga.Ni Aibu kubwa
Mtu unajitoa Kagame ili kujiandaa na mechi za kimataifa
unaenda kutuaibisha kama Taifa!!
Sawa bwanaTuombe radhi Taifa! Hao walikua wanawakilisha badge ya Yanga sio Tanzania, ko wamehiabisha badge ya Yanga.
Povu ruhusa
Hee wana Roho Ngumu...!Hawajitoi tu kama walivyofanya kagame cup !! kutuepusha na aibu...!Wamepigwa 4G [emoji3]
Walijitoa Kagame kwa kisingizio cha kujiandaa ili wachezaji wasichoke halafu wanakuja kufungwa 4G na mtu aliyecheza kagame hadi nusu fainaliNi Aibu kubwa
Mtu unajitoa Kagame ili kujiandaa na mechi za kimataifa
unaenda kutuaibisha kama Taifa!!
Hadi fainaliWalijitoa Kagame kwa kisingizio cha kujiandaa ili wachezaji wasichoke halafu wanakuja kufungwa 4G na mtu aliyecheza kagame hadi nusu fainali
Neno zuri hilo.Maisha bhana yaani Jangwani Girls wamefeli form six na kaka zao Jangwani Boys nao wanafeli Kenya
Naona wanamalizia mechi 3 za mwisho za CAF kwa kuwa hairuhusiwi kujitoa.Watapumzika mpaka 2022 hivi maana kwa timu hii ubingwa wa ligi na ASFC watasahau .Ni vema yanga wakashauriwa kupumzika Michezo ya Kimataifa hadi watakapo maliza matatizo yao kwanza lasivyo naona Dozen ya Magoli inanukia..,