kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,451
- 2,059
Timu ya soka ya Yanga ya Tanzania imeendelea kufanya vibaya katika mechi za makundi kugombea kombe la Shirikisho la Afrika baada ya kutandikwa kwa magoli manne kwa bila dhidi ya wenyeji wao Gor Mahia ya Kenya
Magoli ya washindi katika mechi hiyo yalifungwa na Tusiyenge 22" , Guikan 45" , Haji Mwinyi 65" (Own Goal) na Guikan tena 86"
Magoli ya washindi katika mechi hiyo yalifungwa na Tusiyenge 22" , Guikan 45" , Haji Mwinyi 65" (Own Goal) na Guikan tena 86"