bruno castol
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 1,046
- 661
Chura ni yanga alieshindwa kujenga uwanja pale kwenye bwawa, watoke jery na yule mzee wakatafute chura msimbazi kisha atoke manar na ave dakika kumi kumi wakutane polisi msimbazi halafu ambae hataenda na chura abaki polisi tuone nani anaenda kuwekewa dhamana