Kombe la Shirikisho Afrika: BDF XI vs Yanga [27 Feb 2014]

Kweli me nilinunua bundle ya airtel nikaunga nikaona ina shida tu. nimeamua nitumie wireless. inakwama sana. BDF wanapiga mpira wa faulo karibu na lango la yanga.
 
hii live stream ya azam inaboa balaa
 
ndio katupia

na hivi wako pungufu leo 3 zinawahusu

cc Bantu lady
 
Last edited by a moderator:

ahahahahahahaha hapa tunashangilia mpira tu haalafu wala sijui anaangalizia pande za wapi Komeo Lachuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…