mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Kila siku kukataa mechi zisionyeshwe tu sijui inawasaidia nini??
Tena hawa viongoz wa Yanga wapumbavu sana, Mimi naipenda yanga lakini kwa hili la Yusuph Manji na akina Jerry Muro la kukataa game ya yanga vs bdf kuoneshwa live ni upumbavu. Wanategemea wapenz wa yanga wanaoishi mikoani wataionea wapi yanga!!! Miaka nenda rudi wanakusanya hayo mapato ya mlangoni lakin hata uwanja wa mazoez hakuna, iweje wamekomalia azam tv!! Manji acha ujinga bhana, Wanajangwani wengi hatujafurahishwa na hili.