Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga vs BDF XI [14 Feb 2014]

Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga vs BDF XI [14 Feb 2014]

mambo ya kizamani kabisa kutegemea gate collection kuendesha timu hata mwadui ya daraja la kwanza hawafanyi hivi timu ya wajinga tupu hii
 
Hakumbuki washabiki wa yanga kuna mwaka walinunua jezi kabisa za tp mazembe?? Kisa mazembe alikuwa anacheza na simba.

Nakumbuka jinsi Watu walivyo ng'oa viti kumtetea bwana wao mwarabu.
 
Yanga bado wapo mbele kwa bao 2...
 
Acha uongo,kwa hy unaniambia mechi zote za nyuma zilikuwa zinaoneshwa?!!!

Umebadili swali? Nimesema kwa dunia ya sasa, ukizingatia mvuto wa soka la Tanzania. Hii ni mbaya kabisa kwa mwenye akili nzuri na mwenye kutazama malengo mapana ya klabu
 
azam Tv inaonesha mechi ya KCC ya Uganda inayochezwa Uganda mechi ya yanga haioneshwi popote si azam wala tbc. Nadhani yanga ina matatizo ya kiutawala na kiutamaduni .
 
Mishahara ya wachezaji hata ndanda wanawalipa wachezaji wao. Sembuse yanga!!?

Tofautisha mishahara ya wachezaji kati ya everton na chelsea,tofautisha mshahara wa real sociedad na barcelona,na pia tofautisha ndanda na yanga
 
Mkuu kwa swala la Simba na Yanga hakuna cha uzalendo, wewe mtu wa Simba ikitokea Yanga amechukua kombe hili inakusaidia nini sana sana itakuwa ni kupata kejeli tu toka kwa watu Yanga. Hizi ni mechi za vilabu hakuna kusaidiana kushangilia labda tu tutasaidiana kwenye mapato maana kuna watu wa Simba wameingia uwanjani.

wote nchi mmoja,hapo ni kuiwakilisha nchi
 
Acha uongo,kwa hy unaniambia mechi zote za nyuma zilikuwa zinaoneshwa?!!!

Mkuu unafaidika na nini mechi kutoonyeshwa? Nani kakwambia kwamba mechi ikionyeshwa watu hawataenda uwanjani? Mechi za nyuma kutoonyeshwa haina maana ya kwamba na sasa zisionyeshwe mbona sasa usiendelee kusafiri kwa baiskeli, punda au kwa miguu kwa sababu miaka ya nyuma watu walitumia usafiri huo kwa nini unapanda magari kama lengo ni kuhifadhi mambo ya zamani?
 
Dk 80

Yanga 2 - 0 BDF XI
 
Tulikubaliana nini kwenye hii mechi Masuke? Unakuwa Yanga, iweje umekuwa BDF Xl tena?
Ona aibu uliyoipata ila pole BDF XI...
Nilikwambia unishawishi niungane nawe japo kwa mechi moja lakini ulishindwa, nasupport BDF XI kwa sasa. Mkishinda nitawapongeza kwa dhati kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Tofautisha mishahara ya wachezaji kati ya everton na chelsea,tofautisha mshahara wa real sociedad na barcelona,na pia tofautisha ndanda na yanga

Khaaaaaa!!! kumbe wewe ni boga tu hujui lolote, ngoja niachane na wewe kapuku wa Manji niendelee na mambo mengine. Acha mambo ushabiki maandazi, penye mapungufu lazima pasemwe hata kama unaipenda sana timu yako.
 
Umebadili swali? Nimesema kwa dunia ya sasa, ukizingatia mvuto wa soka la Tanzania. Hii ni mbaya kabisa kwa mwenye akili nzuri na mwenye kutazama malengo mapana ya klabu
Dunnia ya sasa inakwenda na maslahi ndugu,kuna kipindi itv na dtv walikuwa wanaonesha ligi ya england na italy bure,badae wenye mpira wao wakabadilisha mfumo na watu kama ww wakalalamika sana...mpaka sasa virabu vinapata kipato kikubwa kupitia tv rights,wangetaka kukufurahisha ww wa kijjn ingekuaje..acha umbumbumbu
 
Back
Top Bottom