Kila siku kukataa mechi zisionyeshwe tu sijui inawasaidia nini??
Azam wamegoma kutuonesha gemu badala take wameweka ya Kenya ...uzalendo is a big question in Tz
manji kakataaAzam wamegoma kutuonesha gemu badala take wameweka ya Kenya ...uzalendo is a big question in Tz
Tena hawa viongoz wa Yanga wapumbavu sana, Mimi naipenda yanga lakini kwa hili la Yusuph Manji na akina Jerry Muro la kukataa game ya yanga vs bdf kuoneshwa live ni upumbavu. Wanategemea wapenz wa yanga wanaoishi mikoani wataionea wapi yanga!!! Miaka nenda rudi wanakusanya hayo mapato ya mlangoni lakin hata uwanja wa mazoez hakuna, iweje wamekomalia azam tv!! Manji acha ujinga bhana, Wanajangwani wengi hatujafurahishwa na hili.
Safi sana manji,hatutaki unyonyaji cc
Yanga bhana goli moja tu mpaka sasa.
Hili jambo limeudhi wengi sana huku kitaa. Timu yenye base ya mashabiki nchi nzima na nje kuzuia game isionyeshwe ni ushamba na mambo ya kizamani mno. Ushindi wa leo hautaleta hamasa iliyotarajiwa kufuatia kasoro hii. Wengi wamechukia sana
Jina lake la zamani la Amis Tambwe Magoli itabidi lirudi.Yanga wanapata bao la pili...
Amisi Tambwe
Dk 11
Yanga 2 - 0 BDF XI