Kombe la shirikisho hakuna timu ya kuifunga Vipers

Dah mpo desperate kweli Simba ilikuwepo na jina hilo hilo 1939?Au feki zenu kama mikataba ya wachezaji wenu?
Ama kweli kule Utopoloni wenye akili ni wawili tu, mi nimekashangaa hako karaia kameokoteza fake news eti ya mwaka 1939, hakajui mwaka huo hakukuwa na timu inaitwa Simba.
 
Reactions: Tui
Yanga alivyo toka kufungwa na Vipers alikufanyaje?
 
Kwani mi nimebisha hapo?haya taja timu zitazoshiriki hiyo super cup
Wanao shiriki CAF super cup ni timu mbili tu pekee ambazo watabeba kombe la shirikisho na kombe la klabu bingwa. Watakaobeba makombe ya CAF interclub ndio watakaocheza CAF super cup kwaajili ya kufungua pazia la CAF interclub msimu ujao
 
Wanao shiriki CAF super cup ni timu mbili tu pekee ambazo watabeba kombe la shirikisho na kombe la klabu bingwa. Watakaobeba makombe ya CAF interclub ndio watakaocheza CAF super cup kwaajili ya kufungua pazia la CAF interclub msimu ujao
Pumba tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] punguza hasiraa, Simba haihusu nyie kuwa Kombe LA losers, Al hilal ndo aliwafurushaaaa. Lol
 
hawa wengine mpira wAmeanza kuujua kupitia azam ndio wanaotusumbua hap
 
Utopolo huko Kwa Maluza mtaletewa Sana Ma 'Zalani Fc' Kwa Wingi mno..!

Monastr ni Zalani tu...kama Ile Ya Sudani Kusini..!
 
Ndio mashindano yaliyompa sakho goli bora mwaka jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…