Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC): Simba SC 2-3 Mashujaa FC | Uwanja wa Taifa, Dar es salaam | 26/12/2018

Kwahiyo kinyesi sawa, tukisema mavi inatia kichefu chefu hahaa....

Albino lugha ya watu ndugu zangu ila kikwetu ni zeru zeru,,, wala syo tusi mkuu.
Tuzoee uzito wa maneno yetu kwa lugha yetu.

Tukiambiwa (you're crazy )tunaona kama utani,, ila tukiambiwa _(wewe ni kichaa/umechanganyikiwa) tunaona matusi..
This is Tanzania, Nchi yenye udongo wenye dhambi.

Bakita watusaidie maana kama ikiwa hivyo lawama zinawarudia wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…