Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC): Simba SC 2-3 Mashujaa FC | Uwanja wa Taifa, Dar es salaam | 26/12/2018

Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC): Simba SC 2-3 Mashujaa FC | Uwanja wa Taifa, Dar es salaam | 26/12/2018

Juzi Wallah niliishangilia sana Yanga kwenye mechi yao na Tukuyu. Si unajua tena Shadeeya zile ndio mechi zenu mlizo zizoea sasa inabidi tu tuwape sapoti ili tuwafariji watani zetu wakati sisi tukiwa katika majukumu ya kuwakilisha Afrika Mashari huko kwa wanaojua soka, watu wa kaliba ya Simba SC
Ndio nikasema leo nawapa likes tu siongei sana. 😀😀😀
 
Back
Top Bottom