Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Muone, kama kweli vile πππ,Walaa sipendi wawachafulie kitabu. ππ
Najua kuna unalosubiria tu kwenye luninga yako na ikiwa hivyo furaha yako itakamilika kama yoote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muone, kama kweli vile πππ,Walaa sipendi wawachafulie kitabu. ππ
Na ikikamilika hapatatosha hapa. πππMuone, kama kweli vile πππ,
Najua kuna unalosubiria tu kwenye luninga yako na ikiwa hivyo furaha yako itakamilika kama yoote
Dagaa si ndio hua inakuaga chakula cha Chura FC Shadeeya ? Sisi wanatupaniaga na kutupotezea muda tu siku zoteNimeshatulia ujue jirani na ndio sababu nikasema leo nipo tu kwa ajili ya kutoa likes. πππ sababu najua hao ni zaidi ya vidagaa kwenu.
Hahahahaa Yanga si watu wazuri aisee, yaani kila siku nyie mnahama timu tuNa ikikamilika hapatatosha hapa. πππ
Mi nilishajitolea hivyo wala sioni tabu kuhama hamaHahahahaa Yanga si watu wazuri aisee, yaani kila siku nyie mnahama timu tu
Sema kweli jamaniSina cha kuandika leo. Zaidi ya kuwapa likes Watani zangu woooote kwa kila mtakachokipata, hata kama ni maumivu. [emoji23][emoji23]
Ngoja tusiandikie mate wakati wino upo bibieMi nilishajitolea hivyo wala sioni tabu kuhama hama
Niko hapa dada nimekuja jamaniSesten Zakazaka , Shunie, Tui OKW BOBAN SUNZU Sapta Sapta sembo sweetlee na wengineo Mkwapi sa tushangilie timu inacheza huku.
Uuuuwiiiii. Leo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππ jiraaaani. Kama nakuona.Watajaa hapa muda sio mrefu mkuu.
Kapigwa hahaaaaGooooooo......
Mashujaa 3 simba 2
Nasikia Wakimataifa kaingizwa mjini. ππππHahahaha, Mtani nini tena
Aibu naona mimiMpaka sasa Mashujaa 3 na Wakimataifa Simba 2. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]