logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,242
- 5,543
Sema kweli, atafanya nini sasa?Yule chama hakuwemo kwenye kikosi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kweli, atafanya nini sasa?Yule chama hakuwemo kwenye kikosi
Kwahiyo sio tena kikosi kipana?Sisi Wadau wa Simba Sports, tuko radhi na maamuzi yoyote watakao fanya viongizi kwa hawa vijana wa Simba waliocheza Leo.
Kama Bechi waache wakae benchi hadi mikataba yao iishe, kama mkopo basi wapelekwe mkopo.
Ni kwamba hawana kiwango cha kuichezea Simba Sports.
Ukiiangalia timu kama Barcalona pamoja na uwezo wao wote ule, kila mechi wanaingiza full mziki wote.
Kama wanataka kujaribu wachezaji wapya wanawaweka wawili au watatu.
Yaani Simba wanamchezesha mchezaji anaitwa Selemani, na anarukaruka tu uwanjani dakika zote na anaachwa tu.
Viongozi na Bechi la ufundi hebu watendeeni haki wadau wa Simba.
Mnapewa kila kitu, lakini mnaonekana hamtimizi wajibu wenu.
DooohhhWe're out QUMAMAE SALAMBA huna unachokifanya simba
Au kukutakuwa na kafaraunadhani kila siku ..refa atakuwa mkenya
Kikosi kipana kipo, kwani kila timu ina kikosi kipana kwakuwa licha ya kuwa na kikosi cha kwanza kila timu ina kikosi cha pili.Kwahiyo sio tena kikosi kipana?
Ndio. 😂😂😂😂Sema kweli jamani
Hahahaaaa. Nawaona tu yabidi macho na masikio muyaelekeze ligi kuu sababu huko mliko bila hivyo mwakani mtakuwa watazamaji kama kawa. 😂😂😂Utamuona atakavyotunanga baada ya mechi, unafikiri!? hapo kasema leo haongei kumbe anatucheka tu
Mkuu wamekujibu hili swali lako kweli? 😀😀😀Final score?
Mpaka sasa najua ushazipata eeee. 😜😜Sina dada kuna habari gani eti
😂😂😂😂Tumekufa katika uwanja uleule tuliowanyolea Wazambia, amakweli Imba akishiba hua hawindi tena
Hahahaa. Haya bana Jirani ila sasa bila kukomaa TPL mwakani mtakuwa watazamaji tu huko Kimataifa.Jirani nimekuachia huko upambane mwenyewe, mie nimeshindwa na nimekubali matokeo.
😀😀😀😀💃💃💃💃💃Hahhaha namjua mimi kanitoa chit chat huko
Mmmh. Ila hivyo vinyama vidogo nduo mwanzo wa kupata hizo nyama za kukushibisha. Au umesahau?Nikwambie kitu Shadeeya, Simba akishiba hua hasumbuki kuwinda vinyama vidogovidogo😎😎😎
😂😂😂😂😂I understand. Simba timu kubwa sana. Level yao sio kucheza na Mashujaa. Level yao ni timu kama Al Aly, Esperance, TP Mazembe, Libolo, Asec Mimosa nk.
It was just a minor slip.
😀😀😀😀MTU kapewa zawadi ya Boxing Day Leo