Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Mkuu, weka akiba ya maneno. TPL hadi sasa Yanga hana mpinzani.Nyie Ligi ya Mabingwa mbona hatukuwaona kwenye jukwaa. Hilo tumeaachia nyie Ndala, TPL hamna chenu aisee!
Ha ha ha....Hii ni dhambi sana jamani