Kombe la Shirikisho Live: Yanga Afrika vs Etoile du Sahel

Kombe la Shirikisho Live: Yanga Afrika vs Etoile du Sahel

Mie sijawahi kuona mhaya mkuda kama wewe....kisiasa uko ccm......na hapa unaongea kama umetoboka shingo.

Ha ha ha haaah,,,,,,mkuu usimtoe macho, mvumilie tu kama unavyomvumilia katika siasa
 
Ila hawa tbc wanazingua kumtajataja huyu Dilunga wanyamaze tu mana wanamtupia lawama kweli hii ni game tu haya ni mambo ya kocha
 
Kule beki ya kulia ya Yanga anacheza nani? Naona anapitwa utadhani ni veterani
 
Mwarabu tunamlia timing

inatakiwa bao tano, hata 4-0 sioni yanga ikitoka tunis, mnisamehe ila kama mwaangalia mpira mtakubaliana na mimi. mechi hii iko utadhani etoile ndo wako nyumbani.
 
Yanga wana kismart flani hivi.., ni kama wameroga.., pamoja na yote haya wataongeza la pili..
 
Hii mijamaa ya etoil du sahel imejiandaa aisee
 
Hata kama watatutoa ila wakatufungie kwao sio hapa, wasifikiri kuna mteremko
 
inatakiwa bao tano, hata 4-0 sioni yanga ikitoka tunis, mnisamehe ila kama mwaangalia mpira mtakubaliana ma mimi. mechi hii iko utadhani etoile ndo wako nyumbani.

Kucheza na Etoile sio sawa na Kucheza na platinum, cha msingi warabu hawatakiwi kupata goal
 
Mashuti upande wa timu zote mbili

Yanga
On target 1
Off target 2

ES Sahel
On target 8
Off target 11
 
Ila hawa tbc wanazingua kumtajataja huyu Dilunga wanyamaze tu mana wanamtupia lawama kweli hii ni game tu haya ni mambo ya kocha

Ni kweli wanamtaja sana ila kiukweli kiungo kipo kibovu sana akiwemo dilunga. Niyonzima anajaribu kutoa long passes ila waarabu ni warefu na wana afya hivyo kwao na msuva na ngassa hizo long pass ni kama mabeki wa etoile wamepewa pasi tu. Alafu Niyonzima anashuka sana kumsaidia huyu Fanuel Joshua, wanatumia sana kushoto hawa waarabu.
 
Dilunga atoke aingie Sherman ili Niyonzima arudi kati.
 
Mimi ni mtanzania lakini nasema YANGA WAPIGWE TU...uzalendo nitakuwa nao kwenye taifa starz...
 
Back
Top Bottom