Threesixteen Himself JF-Expert Member Joined Feb 12, 2013 Posts 8,233 Reaction score 8,022 Jul 26, 2016 #21 ! ! Hehehehehe
zabron k JF-Expert Member Joined Nov 11, 2015 Posts 943 Reaction score 1,107 Jul 26, 2016 #22 Yanga timu fanya watu wafurahi
kelao JF-Expert Member Joined Sep 24, 2012 Posts 8,132 Reaction score 5,800 Jul 26, 2016 #24 Hakuna link tuchek wakuu?
Bantugbro JF-Expert Member Joined Feb 22, 2009 Posts 4,473 Reaction score 4,252 Jul 26, 2016 #25 Madeama 2: Yanga 1
Kete Ngumu JF-Expert Member Joined Nov 21, 2014 Posts 6,656 Reaction score 6,886 Jul 26, 2016 #26 Yanga inapaizwa na washabiki wake na baadhi ya vyombo vya habari lakini kiuhalisia Yanga yakawaida sana.
Yanga inapaizwa na washabiki wake na baadhi ya vyombo vya habari lakini kiuhalisia Yanga yakawaida sana.
Obama wa Bongo JF-Expert Member Joined May 10, 2012 Posts 5,431 Reaction score 4,925 Jul 26, 2016 #27 refa anawabeba yanga
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Jul 26, 2016 Thread starter #28 dk 30 2-1
J jiwe20 Senior Member Joined Jun 21, 2016 Posts 128 Reaction score 69 Jul 26, 2016 #29 Lazima wachapwe!
Kim Jong Jr JF-Expert Member Joined Mar 15, 2014 Posts 11,074 Reaction score 20,608 Jul 26, 2016 #30 Mpira hauchezwi magazetini jamani.... Hii timu ya Ghana kwa namna ilivyoandikwa kuwa ni timu mbovu utaelewa kwanini mpira wetu ni wa kwenye magazeti
Mpira hauchezwi magazetini jamani.... Hii timu ya Ghana kwa namna ilivyoandikwa kuwa ni timu mbovu utaelewa kwanini mpira wetu ni wa kwenye magazeti
bunyebunye JF-Expert Member Joined Apr 12, 2013 Posts 530 Reaction score 676 Jul 26, 2016 #31 Yanga irudishe magoli hayo la sihivyo hapa kwangu nitahamishwa, maana mwenye nyumba ni team simba na tulikubaliana endapo yanga itafungwa, panga linakula kwangu
Yanga irudishe magoli hayo la sihivyo hapa kwangu nitahamishwa, maana mwenye nyumba ni team simba na tulikubaliana endapo yanga itafungwa, panga linakula kwangu
g click JF-Expert Member Joined Dec 7, 2012 Posts 2,427 Reaction score 505 Jul 26, 2016 #32 Nadhani safari imewadia....
Ufipa-Kinondoni JF-Expert Member Joined Jan 3, 2012 Posts 4,582 Reaction score 2,783 Jul 26, 2016 #33 Bila shaka ushindi upo.
Amavubi JF-Expert Member Joined Dec 9, 2010 Posts 30,156 Reaction score 13,258 Jul 26, 2016 Thread starter #34 jamaa wana uchu sana hawa ila yanga pia soka wanalionesha
L laurent Msembeyu Senior Member Joined Oct 5, 2015 Posts 121 Reaction score 101 Jul 26, 2016 #35 Ngoma alikuwa anachanja mbuga kwenda kuonana na kipa wakamkata refa alalaza Msuva akafunga tuta hilo ni 2- 1 dakika ya 30
Ngoma alikuwa anachanja mbuga kwenda kuonana na kipa wakamkata refa alalaza Msuva akafunga tuta hilo ni 2- 1 dakika ya 30
Obama wa Bongo JF-Expert Member Joined May 10, 2012 Posts 5,431 Reaction score 4,925 Jul 26, 2016 #37 yanga hamna kitu
barafuyamoto JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 32,378 Reaction score 29,739 Jul 26, 2016 #38 Amavubi said: Dk 15 bado medeama anaongoza 1 Click to expand... Kwa muktadha huu yanga anapigwa 6, kila baada ya dk 15, kitu!
Amavubi said: Dk 15 bado medeama anaongoza 1 Click to expand... Kwa muktadha huu yanga anapigwa 6, kila baada ya dk 15, kitu!
Bantugbro JF-Expert Member Joined Feb 22, 2009 Posts 4,473 Reaction score 4,252 Jul 26, 2016 #39 Ngowmo said: mkuu hii link haifunguki Click to expand... Check tena hapa: Medeama v Young Africans Highlights African Confederation Cup 26.07.2016
Ngowmo said: mkuu hii link haifunguki Click to expand... Check tena hapa: Medeama v Young Africans Highlights African Confederation Cup 26.07.2016
raphew Senior Member Joined Jul 8, 2016 Posts 119 Reaction score 121 Jul 26, 2016 #40 Dk ni ya 33 bado KANDAMBILI wamefungwa 2..