Kombe la Shirikisho: Welayta Ditcha 1 -0 Yanga SC, Yanga yasonga hatua inayofuta

Kombe la Shirikisho: Welayta Ditcha 1 -0 Yanga SC, Yanga yasonga hatua inayofuta

Duh! Watani bwana hamjambo. Mnashangilia kuingia makundi kumbukeni hili shindano la shirikisho sisi wekundu tulifika fainali tena kwa kuzitoa timu ngumu. Mnayo changamoto mbele cha msingi msifurahie makundi kaeni mjenge timu ya ushindani maana mnakoelekea ni pagumu sana.
Kila la heri
Mmh.
 
Swadaktaaaaa huo mwaka bingwa alikuwa pilsner wa pili yanga so simba alikutana na watatu wenzie!
PRISNER aijawai kuchukua ubingwa Tanzania mwaka huo Simba walishika nafasi ya Pili nyuma ya Malindi ya Zanzibar.
Yanga walikuwa mabingwa wa wa Bara na katika ligi ya Muungano walishika nafasi ya 3 mashindano yalifanyika Zanzibar.
 
Timu zilizoqualify hadi sasa

  1. Al Massry-Misri
  2. USM Algiers-Algeria
  3. AL Hillal-Sudan
  4. Enyimba-Nigeria
  5. Asec Mimosas-Ivory Coast
  6. Aduana Stars-Ghana
  7. AS Vita-DRC
  8. CARRA Brazaville-Congo
  9. WilliamsVille AC-Ivory Coast
  10. Young Africans-Tanzania
  11. Gor Mahia-Kenya
  12. Rayon Sports-Rwanda
  13. Djoliba-Mali
  14. US Songo-Msumbiji
Walete walete hao...........
 
Duh! Watani bwana hamjambo. Mnashangilia kuingia makundi kumbukeni hili shindano la shirikisho sisi wekundu tulifika fainali tena kwa kuzitoa timu ngumu. Mnayo changamoto mbele cha msingi msifurahie makundi kaeni mjenge timu ya ushindani maana mnakoelekea ni pagumu sana.
Kila la heri
Enzi za Mwalimu.
 
Michuano aliyoshiriki Simba wakati huo ilikuwa yanashirikisha timu zilizoshika nafasi za 3 kwenye ligi za nchi zao, wakati huo yalikuwepo mashindano 3 tofauti.
Hata mashindano haya kuna timu zimeshika nafasi ya nne zimeshiriki kwani hujui kuna nchi zinaingiza hadi timu mbili club bingwa
 
hivi Boko na Okwi wamewahi kucheza group stage ya CAF??????
Simba ilicheza fainali sio group stage,sory unaongelea simba au boko na okwi maana maana hao wameshachezea timu nyingi tu tofauti na simba
 
Simba ilicheza fainali sio group stage,sory unaongelea simba au boko na okwi maana maana hao wameshachezea timu nyingi tu tofauti na simba
acha muemko ..unaongelea kombe la washindi watatu wa nchi..lile kama kombe la Tusker tu...sorry lilishafutwa kitambo..actually kikosi chote cha Simba kasoro Niyo tu ndio anaexperience na hatua hii
 
Back
Top Bottom