Elections 2010 Kombora la Mbatia kwa Marando na Slaa ni kweli hawafai kuwa viongozi


Pumba nyingine
 
hivi ukipewa adhabu ya kifo utasema watu wanakuonea??
Huyu aliyetoa maoni kuwa kikwete ni kiongozi mzuri na dr slaa na marando hawafai ni ni siasa ila hatuna mafisadi kama CCM na hakuna asiyejua
CHadema Chadema mtapita bila kupingwa hata na CCM watatumia UChawi na Wizi wa Kura lakini Mwaka huu ni chungu machozi ya watanzania imemfikia Mungu naye atashuka kuwakomboa na Mikono ya Utumwa wa CCM na Uonevu na Ufisadi na Utawala usijali waliowakoo bali imemewakumbatia Mafisadi mapapa na Wawekezaji. na kuwaacha wazawa wanalia na kuombaomba. Mungu Ushuke na Utupiganie kura ztu isichukuliwae kwa wizi wal kuongeza kura kwa kuwanunua wanafunzi wa vyuo kwa kuwapigia kura CCM bali Utupe leo KIongozi bora Amen
 
Tunajua Mbatia ni Gay, halafu ni kibaraka wa CCM, amekwishaona hata ubunge hapati ameanza kuwachafua wenzake. Ulaaniwe mbatia na kizazi chako
 

Wewe na familia yako mtawafuata CCM kwa sababu unanufaika na udhaifu wa CCM na Kikwete... Kila la heri lakini kwa taarifa yako mwaka huu HATUDANGANYIKI
 
NCCR MAGEUZI ni chama cha CCM. Toka huko 1995 akiwepo Mrema zilikuwa ni ghiriba tu. Walikuwa wamepandikizwa makusudi kuonyesha upinzani feki. Waliokuwa viongozi wake karibu wote wamerudi nyumbani CCM. Lamwai, Nsanzugwanko, Nyakyoma, Bagenda, Wassira, Mrema (ingawa bado anazuga yuko TLP), n.k. Hata hawa akina Mbatia, Marando ni CCM. CHADEMA kumkaribisha Marando siyo busara. Matokeo yake yatajionyesha mbele ya safari.
 

Hivi akili yako inaruhusu au??na mashaka juu ya umakini wako!
 
Mbatia mbona watu wote wanajua kuwa shoga, hivyo huyu apuuzwe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…