Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Hata kwa comoro wanamziki wao hasa walio ufaransa wengi wana mapigo hayo.......shida hazina amsha amsha hizo nyimboTutaichanganya hiyo Kompa na Amapiano.., ngoja tuone.., Kompa sio ya Comoro, ni Carribean na kwa Afrika ni pande za Angola na kidogo DRC
Ndio tutachanganya Amapiano na Kompa tuone tutapata nini, subiri kwanza...Hata kwa comoro wanamziki wao hasa walio ufaransa wengi wana mapigo hayo.......shida hazina amsha amsha hizo nyimbo
Kwanza uko zako barabarani inakupita boda
Mnike ya kwanza unaisikia hapa ya pili anaitikia ameshakata kona😂😂
Kompa inatakiwa ichezwe kwa procedure ila amapiano we hata ukitikisa shingo tu kitu kinajipa😂😂
Kompa originally yake ni Visiwa vya Haiti hukoTutaichanganya hiyo Kompa na Amapiano.., ngoja tuone.., Kompa sio ya Comoro, ni Carribean na kwa Afrika ni pande za Angola na kidogo DRC
Kompa originally yake ni Visiwa vya Haiti huko