Yes!Ni Kayanza Pinda, siyo Kayanda!
Mdogo wakeMtoto wake ni Naibu Waziri wa Ardhi.
Alishika nafasi ya mwisho kura za maoni Jimbo la Kavuu-Katavi lkn akateuliwa.
Mwaka 2025 hawezi shinda kura za maoni CCM lkn Pinda atampitisha
Nchi hii bana, mnataka kila mtu awe anapayuka tu.
Zittow alipokuwa timamu alifanikiwa kumtikisa Mzee wetu Hadi alipotoa machozi ndipo akasamehewa😃😃
Unamtakia nini handsome boy
Huyu ndio Adui wa Katiba mpya
YeahHandsome Mizengo