Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Mazuri yakifanyika ni wajibu kupongeza.Mwonekano wa barabara ya Mbinga - Mbamba Bay yenye urefu wa kilometa 66 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami Mkoani Ruvuma na kufunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Septemba 25, 2024. (📸 - Wizara ya Ujenzi)
View attachment 3107076
Hongera sana kwa utekelezaji wa huu mradi