Mazuri yakifanyika ni wajibu kupongeza.Mwonekano wa barabara ya Mbinga - Mbamba Bay yenye urefu wa kilometa 66 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami Mkoani Ruvuma na kufunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Septemba 25, 2024. (📸 - Wizara ya Ujenzi)
View attachment 3107076
Hee kazi kweli. VUzuri wa barabara pia unajumuisha views utakazoona. Kupitisha hio barabara kwenye handaki ukiachilia mbali gharama pia utapoteza view nzuri sana za milima ambayo ni burudani kwa watumia barabara.
Unaendesha huku unatabasamuHapo uwe na Germany sedan.......acha tu
Ngoja nikupe simple explaination. Kama point A na B zipo same altitude au almost same altitude na katikati ya hizo A na B kuna mlima una option ya kuuzunguka mlima,kuupanda au kuutoboa. Ila kama poitn A na B ziko altitude tofauti yaani moja ipo juu sana una option moja tu nayo ni kupanda huo mlima na kwenye kupanda mlima na barabara hizo kona ndio zinapunguza ukali wa muinuko.Hee kazi kweli. V
Kwa hiyo Tanzania tu ndio kuna hizo makitu. Wenzetu barabara zao hazina hayo makona kona ha kuhatarisha maisha ya abiriaNgoja nikupe simple explaination. Kama point A na B zipo same altitude au almost same altitude na katikati ya hizo A na B kuna mlima una option ya kuuzunguka mlima,kuupanda au kuutoboa. Ila kama poitn A na B ziko altitude tofauti yaani moja ipo juu sana una option moja tu nayo ni kupanda huo mlima na kwenye kupanda mlima na barabara hizo kuna ndio zinapunguza ukali wa muinuko.
Kama huyuHapo uwe na Germany sedan.......acha tu
Hapana ni Samia foundation.World bank au?
China hiiKwa hiyo Tanzania tu ndio kunahizo makitu. Wenzetu barabara zao hazina hayo makona kona ha kuhatarisha maisha ya abiria
Ngoja nikupe simple explaination. Kama point A na B zipo same altitude au almost same altitude na katikati ya hizo A na B kuna mlima una option ya kuuzunguka mlima,kuupanda au kuutoboa. Ila kama poitn A na B ziko altitude tofauti yaani moja ipo juu sana una option moja tu nayo ni kupanda huo mlima na kwenye kupanda mlima na barabara hizo kuna ndio zinapunguza ukali wa muinuko.
Hujaona barabara za dunia nzima. I'm 100% sure.Kwa hiyo Tanzania tu ndio kuna hizo makitu. Wenzetu barabara zao hazina hayo makona kona ha kuhatarisha maisha ya abiria
Nimeona za mataifa mengi tu na hazina hizo meanderingHujaona barabara za dunia nzima. I'm 100% sure.
Sawa.Nimeona za mataifa mengi tu na hazina hizo meandering
Ametoa mama kutokana na kuwapenda watanzania.World bank au?
Hujaona kabisa acha kujitapaNimeona za mataifa mengi tu na hazina hizo meandering