CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Kamwaga kazubaa sana yule, ila kiuhalisia pale lazima tupigwe tu kwasababu zifutazonimeshapiga sijui kama wanaruhusu kupiga zaidi ya mara moja Kamwaga aanze haraka kuhamasisha wanasimba wapige kura
ila hatushindani na Misri Kamwaga yeye ameanza kufanya interview na vyombo vya habariKamwaga kazubaa sana yule, ila kiuhalisia pale lazima tupigwe tu kwasababu zifutazo
👉Egypt ni Taifa lililoendelea kuliko Tz,hivyo basi idadi ya watu wenye simu janja ni lazima itakuwa kubwa kuliko sisi.Sambamba na hilo watumiaji wa mitandao wa twitter hapa bongo ni wachache sana ukinilinganisha na wale wa EGYPT, labda kama ingakuwa instagram 😂
👉Al ahly ina fanbase kubwa kuliko Simba katika mitandao yote.
NB:Goli la miquisone ni bora mara mia zaidi ya lile la Afsha, ila ndohivyo mwenye nacho huongezewa.
sishangai hata kigoma walikuwa wame m target wamvunje deal la misri lifeUlivoongelea tu kitimu nmempigia kura upende wa Pili
Waambie ndugu zake wampigie, wewe maskini utafaidika na nini hata akipata zaidi ya kupoteza bando lako? Simba janjajanjalink hiyo hapo
===
Mpigie kura Luis Miquissone kupitia ukurasa wa @cafclcc wa Twitter ili goli alilofunga tulipocheza na Al Ahly liweze kuwa bora la Ligi ya Mabingwa Afrika 2020/21.
Never give up kirahisi namna hii, kura zipigwe tu no matter what, kama unakiri goli la Miq ni bora, basi wako wengi wenye mtazamo kama wako, kapige kura nao wafuate.Kamwaga kazubaa sana yule, ila kiuhalisia pale lazima tupigwe tu kwasababu zifutazo
[emoji117]Egypt ni Taifa lililoendelea kuliko Tz,hivyo basi idadi ya watu wenye simu janja ni lazima itakuwa kubwa kuliko sisi.Sambamba na hilo watumiaji wa mitandao wa twitter hapa bongo ni wachache sana ukinilinganisha na wale wa EGYPT, labda kama ingakuwa instagram [emoji23]
[emoji117]Al ahly ina fanbase kubwa kuliko Simba katika mitandao yote.
NB:Goli la miquisone ni bora mara mia zaidi ya lile la Afsha, ila ndohivyo mwenye nacho huongezewa.
Nani anamjua Kamwaga? Mnafika Njombe ndo mnakumbuka bkanketi mliloacha Mwanza?nimeshapiga sijui kama wanaruhusu kupiga zaidi ya mara moja Kamwaga aanze haraka kuhamasisha wanasimba wapige kura
Kama hamjui Utopolo wote wanampigia Afsha hicho kimemwangusha MiquissoneSimba Sc wamekusikia wamenusa hatari wakaanzisha hamasa