Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

[emoji16][emoji16][emoji16] harmonise anapotea una akili kweli wewe !? Anapotea Nini Sasa !?

Mpaka Sasa ndiye msanii mwenye album Kali kuliko wasanii wote waliowahi kutoa album zao katika digital platform ,na ndiye msanii anaye trend mitandaoni , Pia ana ngoma Kali nyingi tu , hata hi vibaya licha ya kamba imetungwa katika muda mchache lakini bado Ni ngoma Kali Sana ambayo Inadhihirisha kwamba jamaa Ni talent,

Hivi unamjua Mtu ambaye anayepotea !? Mtu anaye potea niyule ambaye macho na masikio ya watu hawaya time nae tena lakini sio kwa harmonise nadhani mpaka dakika hii unaona jinsi anavyo zungumziwa iwe kwa mazuri au mabaya but kitendo cha watu kuacha shughuli zao na kumfuatilia it means jamaa ana impact kubwa ya ushawishi ktk jamii,, ingekuwa harmo ameshuka kisanaa WCB and co wasingekuwa Wana haha kumfanyia fitna ili apotee ,, Kwa mara nyingine tena WCB mmejaribu kufanya fitna ili dogo apotee lakini ime Punch imekula kwenu ..so endeleeni kupiga ramli zenu , [emoji16][emoji16][emoji16]
unapoteza muda hivi vichawa vinapewa hela ya bando
 
Konde boy mnyama yupo under hot supu , anatokota ,... Alaf ana rundo la porn video na lipo mikononi mwa wadau , huyu jamaa sjui ana akili gani
Za kwake nyie zinawauma nini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Harmonize hatutake radhi wanaume wazima tumegombea kuuona mshedede wa mwanaume mwenzetu!? Balaa gani hili?
 
Tangu aimbe Kwangaru aliuteka moyo wa mwendazake. Awamu ya 5 Konde Boy alipata kila alichokihitaji kutoka serikalini. Huu msiba umemuumiza sana.
Huyo ndiye aliyekuwa wa kumtukana mungu sasa (kama ingekuwa inafaa) lakini siyo Selemani ambaye sidhani kama ilishawahi kutokea hata kutajwa tu na mwendazake achilia mbali kula walau shilingi mia
 
Video nnayo ila situmi, sio siri. Ni aibu Sana mtoto wa kiume.. kutuma mboo ya mwanaume mwenzangu.
 
Konde Gang apitie Thread Ambayo tulimshauri Albert Mangwair.


 
Video nnayo ila situmi, sio siri. Ni aibu Sana mtoto wa kiume.. kutuma mboo ya mwanaume mwenzangu.

Hahahaa hivi kuna wanaume wanaomba waone Mzigo wa Hamo? Daaah kama wapo basi inasikitisha sana,kwa wanawake ni sawa labda wanataka kuipigia Nyeto sasa sijui maMEN ya nini?
 
hao watu kina nani mkuu unajua Jembe ni jembe ni nani? na anaelimu gani?, unajua Mjerumani manager wake anaelimu gani?
Jembe biashara ni mweupe,kafungua club imefeli,alianzisha bendi imekufa,redio nayo iko hoi taaban....harmo alitakiwa awe na mtu anaejua game la mziki wa bongo kma seven mosha,sio jembe mchumia tumbo
 
  • Thanks
Reactions: Ilu
Back
Top Bottom