Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee[emoji2960]Ndio kama cha mtoto wa std 6
Mkuu unafuatilia vizuri mauzo ya Rayvany kweye social platform?apart from Diamond nani anamzidi Harmonize pale wasafi?
Kama anakula Sembe basi kaitoa huko huko wasafi nani asiyejua kua Mondi anatumia hadi nuru amekosa,MZee Kama ni mtu wako wakaribu mshauri aache sembe anaharibika.
Nikutumie picha Pm?Wee[emoji2960]
Ndio kipoje em tuone
Weka hapa ili tuone wote[emoji1787]Nikutumie picha Pm?
Nitapigwa ban..we njoo pm.Weka hapa ili tuone wote[emoji1787]
Nitumie basi[emoji6]Nitapigwa ban..we njoo pm.
Sawa..wait a minute.Nitumie basi[emoji6]
Ole wako unidanganye[emoji1787]Sawa..wait a minute.
Isipokua ajira tu maninaDooh Hii nchi mambo ni mengi....
Mauzo yake ndo sawa na anchoptaMkuu unafuatilia vizuri mauzo ya Rayvany kweye social platform?
Wanapiga tu kelele bila kujua kitu. Ray amemzidi hadi Mond kwenye mauzo hapa recently. Yuko tops kwenye platforms za muziki za kupiga pesa.Mkuu unafuatilia vizuri mauzo ya Rayvany kweye social platform?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]We harmo kajua kuwajambisha hadi rayvan kaimba kama saida caroli [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Maisha usiyachukulie serious sana utakufa mapema[emoji23]
Wanaume mjiandae kisaikolojia maana ilo dudu la konde [emoji119][emoji119][emoji119]
Ama kweli Konde boy for everybody Shidoo shidoo shidooo
Kila mmoja wao Kati ya hao watapotea na kusahulika katika ulimwengu huu Kama mimi na wewe pia. Ila jambo la msingi waache alama isiyofutika, mm siongelei mambo ya uteam nachosema Kama kweli konde anatumia bangi na sembe itamgharimu siku za usoni gari likishakolea.Sio mitazamo ndo ukweli kumbuka mondi ndo mzee wa kiki lakini mbona ndo anatamba sasa!subirini tu hapotei nawaambia time will tell
hayo mauzo ya kwenye social platform anayachukua yeye? Mkuu ni heri anayefanya kazi ya laki 3 analipwa nzima.....rayvanny hana hela mkuu mbona wazazi wake tunawajua na yeye Watu wanamjuaMkuu unafuatilia vizuri mauzo ya Rayvany kweye social platform?