Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Mwanzo alikuja vizuri Sana ila kadri siku zinavyosonga ndio anazidi kuharibikiwa roho inaniuma Sana harmo tutamkosa .Kiukweli uwepo wake muhimu Sana yeye ndio mtu ambaye at least anaweza kuwachalenge WCB ila anapoelekea sipo.
Mambo ya kuonesha dushe lake mitandaon?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Chawa
 
Tukiachana na kuwa amebarikiwa chini ila Harmo anaimba bwana.
Jamaa anajua.
 
Mwache ale tu kijana na hintiye wanajiweka kikahaba na kimitego tego aisee. Ila harmonize ana bolo yang aisee
Katika kitu ambacho nauhakika.
Kajala na mwanae wameshare na watendelea kushare wanaume wengi sana.


Kuna umuhimu wa wanaume kuangalia pa kumwaga mbegu.p
 
Inabidi tuanzishe hashtag #BadilikaHarmo ,pengine atatusikia mashabiki zake

Unashindana na WCB ameshindwa Ruge mtu ambaye robo ya wasanii wote wa bongo fleva walioingia bifu na yeye walifeli ila WCB wameshinda .

Harmonize ajitathmini Sana Hawa watu sio watu wazuri.
Ruge hakua mshindan wa wasafi
 
Mondi ndio kashuka ..juzi kaingia mkataba wa $5m kimyaa..kubeba vipochi kimyaa..kamleta Zari mpaka Taifa kimyaa...kamleta mvuta fegi wa Mombasa kimyaa....ebo hata Michael Jackson ilikuwa hivi hivi...
 
[emoji16][emoji16][emoji16] harmonise anapotea una akili kweli wewe !? Anapotea Nini Sasa !?

Mpaka Sasa ndiye msanii mwenye album Kali kuliko wasanii wote waliowahi kutoa album zao katika digital platform ,na ndiye msanii anaye trend mitandaoni , Pia ana ngoma Kali nyingi tu , hata hi vibaya licha ya kamba imetungwa katika muda mchache lakini bado Ni ngoma Kali Sana ambayo Inadhihirisha kwamba jamaa Ni talent,

Hivi unamjua Mtu ambaye anayepotea !? Mtu anaye potea niyule ambaye macho na masikio ya watu hawaya time nae tena lakini sio kwa harmonise nadhani mpaka dakika hii unaona jinsi anavyo zungumziwa iwe kwa mazuri au mabaya but kitendo cha watu kuacha shughuli zao na kumfuatilia it means jamaa ana impact kubwa ya ushawishi ktk jamii,, ingekuwa harmo ameshuka kisanaa WCB and co wasingekuwa Wana haha kumfanyia fitna ili apotee ,, Kwa mara nyingine tena WCB mmejaribu kufanya fitna ili dogo apotee lakini ime Punch imekula kwenu ..so endeleeni kupiga ramli zenu , [emoji16][emoji16][emoji16]
 
hao watu kina nani mkuu unajua Jembe ni jembe ni nani? na anaelimu gani?, unajua Mjerumani manager wake anaelimu gani?
[emoji16][emoji16][emoji16] hajui kitu huyu , kwahiyo Juma lokole na Aristotle Babu take Wana elimu kuliko jembe Ni jembe !? Unasubiri Nini kumpiga ngumi Mtu Kama huyo asiye weza ku reason out [emoji31][emoji31]
 
Kila jambo linataratibu zake msanii Harmonize asipobadilika anaelekea kujiharibia ktk tasnia yake ya muziki.

Wito kwa watu wake wakaribu wamshauri jinsi gani ya kutumia mitandao ya kijamii na jinsi gani ya kutengeneza kiki sababu kila uchwao anelekea kudrop katika fani, Harmo wa WCB sio huyu wa sasa kashfa nyingi,kazi hazina ubora ,michambo na mabifu na watu kila kukicha.

Tahadhari kwa sisi mashabiki wake tunaona mwisho mbaya kwake anatakiwa apate washauri na wasimamizi watakaomshauri na kumuelekeza nini afanye nini aache kulinda weledi wa tasnia yake.

Watanzania hawakawii kumchoka mtu mifano hai ipo mingi kwa wasanii wenzake, anatakiwa akumbuke alipotoka na aangalie alipo na anapokwenda.

Kikawaida katika nchi yenye kulinda tamaduni na ustaarabu ktk jamii kitendo cha kuonesha picha za utupu mitandaon ni cha fedhea kwa msanii mkubwa Kama yeye.

Kitendo cha kula kuku na mayai yake ni kudhalilisha wanawake na hakivumiliki, kitendo cha kutukana watangazaji na kuwapa vitisho kama alivyomfanyia Maimartha wa Jesse ni ulimbukeni na upungufu wamaarifa, kitendo cha kutengeneza lebo ya kusimamia wasanii halafu wasanii hao hawatoi nyimbo wala hawasikiki na wanavipaji ni kuua vipaji vya wasanii wetu.

Mimi shabiki namba moja wa Harmonize na nimechukizwa na mienendo yake, naomba abadilike bado tunampenda kushindana na WCB kutamuharibia wale watu hawawezekaniki wana nguvu na vipaji na washapiga hatua kubwa Sana .

Of Course Atapotea Vibaya

Miezi Kadhaa Nyuma Alikuwa Anashindanishwa Na Diamond Saiz Amedhihirisha Wazi Kuwa Ligi Yake Ni Rayvanny, Wakati Yeye Anapambana Na Kiki Competitor Wake Anaendelea Kupiga Deals Na Yeye Anaachwa Way Behind...
 
Nasikia kwanza Mmemuongezea Sifa kuu,mtoto wa watu kawa Gumzo,kila Mdada anataka kuiona Video,wengine wanasema kuiona tu Wameloa,Ana kitu Management ya Wasafi Combined[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lazima apotee? wao kama kina nani? Ridhiki anatoa Mungu......ukiona kuanzia uncle shamte,aristote,lukamba,uncle shamte, Sallam sk, babalevo na rayvanny wote wanamuandama mtu mmoja ujue wanaumia sana na jamaa.....

ukitaka kujua jamaa ni mkali hebu sikiliza Vibaya na nyamaza utajua harmonize anawaumiza sana....

Alafu unasema wewe shabiki wa Harmonise kweli inaandikwa hivo? Ila wasafi haujakosea......
Mpe huyo za uso, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jaman mwenye picha ya mjegeje wa kondeboy afanye kunitumia bas nisafishe macho mie.
 
Back
Top Bottom