Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 466
Mwanzo alikuja vizuri Sana ila kadri siku zinavyosonga ndio anazidi kuharibikiwa roho inaniuma Sana harmo tutamkosa .Kiukweli uwepo wake muhimu Sana yeye ndio mtu ambaye at least anaweza kuwachalenge WCB ila anapoelekea sipo.
Mambo ya kuonesha dushe lake mitandaon?ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Mambo ya kuonesha dushe lake mitandaon?ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜