Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Kwenye hii ishu wote ni wapuuzi tu sio wasafi wala kondegang. Huku ibra na harmonize kule kina rayvany wote wanatupiana vijembe na kutungiana nyimbo za mipasho. Ni kupenda kuongelewa tu hakuna kingine aliejirekodi na walopost wote akili sawa tu huwezo kumdhalilisha mwanaume mwenzio namna hoyo hawa machalii ustaa unawazuzua sana.

Wote wana ngoma zinatrend mtaani wanaacha kuzipa promo kazi zao wanakalia huu ushubwada hauna kichwa wala miguu.

Na harmonize aangalie sauti yake, aisee moshi unaharibu saut yake adhimu ana mashairi mazuri sana ila sauti inaelekea kumsaliti sahau kuhusu pumzi. Apunguze uraibu wa haya madude anaharibu sauti.
 
Kwenye hii ishu wote ni wapuuzi tu sio wasafi wala kondegang. Huku ibra na harmonize kule kina rayvany wote wanatupiana vijembe na kutungiana nyimbo za mipasho. Ni kupenda kuongelewa tu hakuna kingine aliejirekodi na walopost wote akili sawa tu huwezo kumdhalilisha mwanaume mwenzio namna hoyo hawa machalii ustaa unawazuzua sana.

Wote wana ngoma zinatrend mtaani wanaacha kuzipa promo kazi zao wanakalia huu ushubwada hauna kichwa wala miguu.

Na harmonize aangalie sauti yake, aisee moshi unaharibu saut yake adhimu ana mashairi mazuri sana ila sauti inaelekea kumsaliti sahau kuhusu pumzi. Apunguze uraibu wa haya madude anaharibu sauti.
Usisahau mmoja alikuwa analipa kisasi hapo.
 
Kila jambo linataratibu zake msanii Harmonize asipobadilika anaelekea kujiharibia ktk tasnia yake ya muziki.

Wito kwa watu wake wakaribu wamshauri jinsi gani ya kutumia mitandao ya kijamii na jinsi gani ya kutengeneza kiki sababu kila uchwao anelekea kudrop katika fani, Harmo wa WCB sio huyu wa sasa kashfa nyingi,kazi hazina ubora ,michambo na mabifu na watu kila kukicha.

Tahadhari kwa sisi mashabiki wake tunaona mwisho mbaya kwake anatakiwa apate washauri na wasimamizi watakaomshauri na kumuelekeza nini afanye nini aache kulinda weledi wa tasnia yake.

Watanzania hawakawii kumchoka mtu mifano hai ipo mingi kwa wasanii wenzake, anatakiwa akumbuke alipotoka na aangalie alipo na anapokwenda.

Kikawaida katika nchi yenye kulinda tamaduni na ustaarabu ktk jamii kitendo cha kuonesha picha za utupu mitandaon ni cha fedhea kwa msanii mkubwa Kama yeye.

Kitendo cha kula kuku na mayai yake ni kudhalilisha wanawake na hakivumiliki, kitendo cha kutukana watangazaji na kuwapa vitisho kama alivyomfanyia Maimartha wa Jesse ni ulimbukeni na upungufu wamaarifa, kitendo cha kutengeneza lebo ya kusimamia wasanii halafu wasanii hao hawatoi nyimbo wala hawasikiki na wanavipaji ni kuua vipaji vya wasanii wetu.

Mimi shabiki namba moja wa Harmonize na nimechukizwa na mienendo yake, naomba abadilike bado tunampenda kushindana na WCB kutamuharibia wale watu hawawezekaniki wana nguvu na vipaji na washapiga hatua kubwa Sana .
Yes Hana management yenye akili hajui afanye lipi na aache lipi. Mahusiano na kajala pamoja na kureact vibaya kwenye kesi ya rayvanny vimemshusha sana

Pia hata suala la kusign na kuwatambulisha wasanii amefeli sana. Alitakiwa kutambulisha mmoja baada ya mwingine Kama amabavyo wengine wanafanya ili kuhakikisha Kila msanii anasimama.

Anahitaji management inayoeleweka na itakayomtawala na kumfanya awe mkubwa
 
Yes Hana management yenye akili hajui afanye lipi na aache lipi. Mahusiano na kajala pamoja na kureact vibaya kwenye kesi ya rayvanny vimemshusha sana

Pia hata suala la kusign na kuwatambulisha wasanii amefeli sana. Alitakiwa kutambulisha mmoja baada ya mwingine Kama amabavyo wengine wanafanya ili kuhakikisha Kila msanii anasimama.

Anahitaji management inayoeleweka na itakayomtawala na kumfanya awe mkubwa
Mimi nafikiri huyu kijana anahitaji ushauri nasaha na pia Kama Kuna kitu anatumia aache Mara moja tutamkosa huyu jamani.
 
Kwenye hii ishu wote ni wapuuzi tu sio wasafi wala kondegang. Huku ibra na harmonize kule kina rayvany wote wanatupiana vijembe na kutungiana nyimbo za mipasho. Ni kupenda kuongelewa tu hakuna kingine aliejirekodi na walopost wote akili sawa tu huwezo kumdhalilisha mwanaume mwenzio namna hoyo hawa machalii ustaa unawazuzua sana.

Wote wana ngoma zinatrend mtaani wanaacha kuzipa promo kazi zao wanakalia huu ushubwada hauna kichwa wala miguu.

Na harmonize aangalie sauti yake, aisee moshi unaharibu saut yake adhimu ana mashairi mazuri sana ila sauti inaelekea kumsaliti sahau kuhusu pumzi. Apunguze uraibu wa haya madude anaharibu sauti.
Kweli kabisa Boss sisi tunaompenda lazima tupaze sauti kumtakia mema bila hivyo ataangamia kabisa sababu yeye ni msanii mwenye kipaji .
 
Usisahau mmoja alikuwa analipa kisasi hapo.
Haijalishi wote ni wapuuzi tu mkuu.
Mwenye hekima alipaswa kumpuuza mwingine kujibu ni kudhihilisha na wewe ni mmoja wa wapuuzi.

Sijui kama mondi kasema chochote ila huyu jamaa mala nyingi anaposemwa vibaya kwa skendo huwa anakaa kimya sabahu hii kujibu jibu ndo inakuonesha jinsi gani uko empty kichwani. Na kiba nae ni moja ya watu wanaokaaga kimya sana kwenye ishu za skendo hizi ni mara chache kuibuka kujibu vijembe, inatokea sometimes na wao kujibu ila sio mala nyingi na kuendelea kujibizana mpaka kudhalilishana namna hii.

Upuuzo huu mkuu
 
Tatizo watu ukisema ukweli/kutoa maoni yanayoonesha kama kumpinga mtu wanahisi basi wewe ni team fulani.

Kuna wasanii mtu hupendi wapotee wana vipaji inabidi kusema ukweli tu sio kuwapamba wakati wanaharibu.
Kweli kabisa Boss sisi tunaompenda lazima tupaze sauti kumtakia mema bila hivyo ataangamia kabisa sababu yeye ni msanii mwenye kipaji .
 
vibaya vs nyamaza zimetoa jibu naji ni mkali katika writing na singing.....
Kwa upande wangu vibaya, melody iko poa kuliko nyamaza ila vany kuandika na kuimba anamuacha mbali kondeboy hilo tuache unafki aisee.

Kwasababu kondeboi hubadilika kwenye nyimbo zake chache tofauti na mwenzie na hata idea za nyimbo vany ana idea nying tofauti tofauti. Jaribu tu kuskiza ngoma zao ambazo kila mtu kaimba peke yake.

WOTE NI WAKALI waache tu huu udwazi umeniboa kinoma

Naona nae ibra kaingilia katoa ngoma boko kishenzi huyi dogo nae bna
 
Nyie ni halali Rayvan alie jamani sio [emoji533][emoji533] aliyonayo hamonaiz [emoji23][emoji23] wcb wakijichungulia kwenye zip zao wanalia kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Tunaomba harmo ajengewe sanam liwekwe pale posta lile la posta litolewe litupweee
Na mbaya zaidi paula kaanza tafunwa kabla ya mama
 
Jomba comments zako zinaonesha umekariri maisha ya wcb ya kiki bila kuelewa ni wakati gani na matukio gani wanatumia kama kiki, kifupi we hizi kiki umezijulia kwa hao hao WCB ila hukuelewa somo. Wale sio viazi waachie hiyo video alafu wasijue kwamba harmonize atapata umaarufu kipindi hiki, wanacholenga ni long term effect yani hizo video na hii kashfa zitaendelea tu kumuandama harmonize leo, kesho na kesho kutwa. Hio sio kiki ambayo yeye mwenye harmonize anaitaka ingawa ametoa wimbo kuzuga kwamba anautumia hii scandal kama kiki ya muziki. Unafikiri anapenda ulimwengu kuona na kujadili maumbile yake? Unafikiri wcb na harmonize hawajui huu umaarufu wa muda una gharama kubwa?
Nimeishia njiani kusoma

Nataka nikuulize swali ule uzalishaji wa ovyo wa mond sio long term effect kwenye kiki zake???

Punguza mahaba ilo ni moja tu kati ya mengi aliyofanya mondi juzi tu kamkana baba ake...ngoja niishie hapa
 
Hakuna cha long term effect wala shangazi yake short term effect kubalini mmepigwa bao atii, mlijua mtamdhalilisha imekua kinyume sasa hivi wanawake wanawashurutisha waume zao waongeze mshedede kama wa Harmonize achilia mbali wale wanaopiga hodi DM kwa Konde hehehe poleni team WACHAFU, mwambieni na huyo mfuga tambi kichwan aoneshe kindululu chake tulinganishe, [emoji23][emoji23][emoji23]
Ray analia huko maana kakuta bwawa kwa paula
 
Back
Top Bottom