Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Konde (Harmonize) acha kutumia "sembe" inakuharibia career yako ya muziki

Lazima apotee? wao kama kina nani? Ridhiki anatoa Mungu......ukiona kuanzia uncle shamte,aristote,lukamba,uncle shamte, Sallam sk, babalevo na rayvanny wote wanamuandama mtu mmoja ujue wanaumia sana na jamaa.....

ukitaka kujua jamaa ni mkali hebu sikiliza Vibaya na nyamaza utajua harmonize anawaumiza sana....

Alafu unasema wewe shabiki wa Harmonise kweli inaandikwa hivo? Ila wasafi haujakosea......
Mimi shabiki wa harmonize ila lazima tuseme ukweli jamaa anapotea huwez shindana na watu waliokuzidi kila kitu ni bora atulie afanye mziki Kiki na kashfa zitamshusha.
 
Mimi shabiki wa harmonize ila lazima tuseme ukweli jamaa anapotea huwez shindana na watu waliokuzidi kila kitu ni bora atulie afanye mziki Kiki na kashfa zitamshusha.
apart from Diamond nani anamzidi Harmonize pale wasafi?
 
Kuna silka ya ushamba flani harmo anayo na hilo ndio litakalomfelisha .Tatizo wabongo baadhi yao wanamsapoti sababu hawawapendi WCB sio kwamba wanampenda harmo na hao ndio watakuwa wa Kwanza kumgeuka Mambo yakisha mchachia awe makini Vita bila ya akili matokeo yake ni mabaya.
 
kuna Vibaya na nyamaza hebu kasikilize hizo nyimbo 2 alafu utasema mwenyewe nani anaenda kupotea.....
 
Kuna silka ya ushamba flani harmo anayo na hilo ndio litakalomfelisha .Tatizo wabongo baadhi yao wanamsapoti sababu hawawapendi WCB sio kwamba wanampenda harmo na hao ndio watakuwa wa Kwanza kumgeuka Mambo yakisha mchachia awe makini Vita bila ya akili matokeo yake ni mabaya.
mkuu wewe unaona nani mjanja mpaka sahizi kati ya ray vanny na Harmonize?

huyo rayvanny anashindwa saidia mama ake mbeya anahonga sluts ziende dubai huo sio ushamba?
 
mkuu wewe unaona nani mjanja mpaka sahizi kati ya ray vanny na Harmonize?

huyo rayvanny anashindwa saidia mama ake mbeya anahonga sluts ziende dubai huo sio ushamba?
Tatizzo la harmo sio kipaji Yuko vzuri ndio maana namshabikia tatizo anaendeshwa na watu ambao wengine hata darasa la Saba hawajafika ndio washauri wake na jambo baya zaidi anapenda Sana sifa za kijinga anajisahau.kufikiri kuendeleza bifu na WCB ndio njia ya kuzidi kumtangaza au kumweka kwenye trend ni ujinga mwingine ambao anapaswa kuuacha wale watu wanaakili nyingi na wapo wengi kila Kona na wanaumoja Sana.Anatakiwa afocas ktk kazi na apotezee baadh ya Mambo ajifunze kwa Alikiba .
 
Jomba comments zako zinaonesha umekariri maisha ya wcb ya kiki bila kuelewa ni wakati gani na matukio gani wanatumia kama kiki, kifupi we hizi kiki umezijulia kwa hao hao WCB ila hukuelewa somo. Wale sio viazi waachie hiyo video alafu wasijue kwamba harmonize atapata umaarufu kipindi hiki, wanacholenga ni long term effect yani hizo video na hii kashfa zitaendelea tu kumuandama harmonize leo, kesho na kesho kutwa. Hio sio kiki ambayo yeye mwenye harmonize anaitaka ingawa ametoa wimbo kuzuga kwamba anautumia hii scandal kama kiki ya muziki. Unafikiri anapenda ulimwengu kuona na kujadili maumbile yake? Unafikiri wcb na harmonize hawajui huu umaarufu wa muda una gharama kubwa?
Achana nao hao mashabiki maandazi..wasafi wameicheza game yao kwa akili nyingi sana always hawaruhusu damage kwenye brand yao.

Konde hii kwake sio kiki ni mtihani, kuna watu mpaka sasa awatomchukilia tena serious brand imechafuka kuna deals hatozipata kamwe.
 
Tatizzo la harmo sio kipaji Yuko vzuri ndio maana namshabikia tatizo anaendeshwa na watu ambao wengine hata darasa la Saba hawajafika ndio washauri wake na jambo baya zaidi anapenda Sana sifa za kijinga anajisahau.kufikiri kuendeleza bifu na WCB ndio njia ya kuzidi kumtangaza au kumweka kwenye trend ni ujinga mwingine ambao anapaswa kuuacha wale watu wanaakili nyingi na wapo wengi kila Kona na wanaumoja Sana.Anatakiwa afocas ktk kazi na apotezee baadh ya Mambo ajifunze kwa Alikiba .
hao watu kina nani mkuu unajua Jembe ni jembe ni nani? na anaelimu gani?, unajua Mjerumani manager wake anaelimu gani?
 
hao watu kina nani mkuu unajua Jembe ni jembe ni nani? na anaelimu gani?, unajua Mjerumani manager wake anaelimu gani?
Wale ni wafanya biashara watu ambao kazi yao ni kuandaa show zake na anapokuwa na project wanazisimamia .Mimi namaanisha wale chawa na kunguni wanaomzunguka ambao kwa kiasi kubwa ndio washauri wake wakuu kuhusu Kiki na Mambo ya mitandao wengi wao hamna kitu kichwan Kama utakubaliana na Mimi unajua dr.kumbuka ashawah kuwa msemaji wa kondegang hivi unapata taswira gan hapo?
 
Wale ni wafanya biashara watu ambao kazi yao ni kuandaa show zake na anapokuwa na project wanazisimamia .Mimi namaanisha wale chawa na kunguni wanaomzunguka ambao kwa kiasi kubwa ndio washauri wake wakuu kuhusu Kiki na Mambo ya mitandao wengi wao hamna kitu kichwan Kama utakubaliana na Mimi unajua dr.kumbuka ashawah kuwa msemaji wa kondegang hivi unapata taswira gan hapo?
Kweli leo hii Harmonize asimsikilize mjerumani na Jembe amsikilize dr.kumbuka mkuu?
 
Mpk ya anko shamte...!!!na ya mme wa kwini darlin
Unganisha mboo ya daimond,rayvan,Romy,salam,baba levo yaan wcb wotee hawamfikii Harmo [emoji23][emoji23][emoji119]
Balaa yaani wale species wapo few ktk hiii nchi
Kweli konde atakimbiliwa na wadada, maunbile hayo wanayo wamasai
Hahahaa!!vunja jungu mujaraabu kabisaaa
Muhimu connection ayo madawa atumie tu

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom