Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh. Hivyo ana sifa kama za mmewe alivyokuwa anakandamiza bunge.(Somebody) Ndugai...ni mke wa Ndugai
Acha umbeya ,kwani ni llazima ujibu Hilo swali...inakusaidia Nini kusema uongo!(Somebody) Ndugai...ni mke wa Ndugai
Huyu alikuwa Bahi mkuu, Samia akamteua kuwa RAS Dodoma(Somebody) Ndugai...ni mke wa Ndugai
Sorry kwake kama namkosea. Huyu ndugu ni mjeda, hababaikiHuyu jamaa anahitaji ulinzi wa kipekee sana nowadays
Mke wa ndugai ni RAS Dodoma na sio mkurugenzi wa Kondoa(Somebody) Ndugai...ni mke wa Ndugai
Laiti kama Maafisa wa Tume ya Uchaguzi Mkuu wagepatikana vijana kama huyu, nadhani tungepiga hatua mbele ya maendeleo.I love his guts huo ndio uanaume na uzalendo
Tumeona na tutamlinda kama SerikaliHuyu bora aachr kazi ili awe huru. Amesema ukweli na kwa kujiamini kabisa lakini je nani atamlinda dhidi ya madhalimu haya?
Atalindwa na Anthony Mtaka.Huyu bora aachr kazi ili awe huru. Amesema ukweli na kwa kujiamini kabisa lakini je nani atamlinda dhidi ya madhalimu haya?
Upo Wapi? KUNYWA HiiRaha ya kufanya kazi kondoa ni kujipatia papuchi nyeupe za bure za kirangi na kula nyama ya mbuzi na kondoo kwa bei nafuu zaidi ya hapo kondoa ni pagumu kwa kila kitu. Ndugu zangu warangi wanapenda kupendeza lakini hawapendi kufanya kazi.
Wote wale ni waajiriwa, hakuna boss hapo
Tupate na maelezo ya mkurugenzi kwanza ili tuwe fair kwa pande zote.Mkurugenzi anaitwa nani?
Mbona halimashauri zaletewa hela?Hapo hakuna team work,ni team majungu !! Kati yao mmoja atakuwa ni mzalendo na mwingine ni ant -uzalendo. Ila wamesahau tulikubaliana kila mmoja ale kwa kamba yake, kwa kuzingatia urefu wa kamba yake. Kuna mmoja anataka awe anavimbiwa hapo bila shaka!!