Kongamano la CHADEMA 10 Desemba 2022 Iringa

Kongamano la CHADEMA 10 Desemba 2022 Iringa

Kongamano la vichaa
Chama chá mambuzi.
JamiiForums181526966_187x187.jpg


Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
09 December 2022
Mlimba, Makambako
Tanzania

Mlimba Makambako macho yote Iringa


Kongamano la wewe mwana CHADEMA tarehe 10 December 2022 Iringa, Tanzania

Mmetisha Makananda....Chapa mwizi kimyakimya...
 
8 December 2022

CHADEMA JIMBO LA MLIMBA YAZIDI KUJIIMARISHA



MIAKA 61 YA UHURU MAWAZIRI WA CCM WANAGARAGAZWA NA UMEME

 
Iringa, Tanzania
KONGAMANO KUBWA LA WEWE MWANA CHADEMA 10 /12/2022

Mwenyekiti wa kanda ya Nyasa kupitia CHADEMA Peter Msigwa anawakaribisha Kongamano la wewe mwana CHADEMA fika Gangilonga mjini Iringa tarehe 10 December 2022.



Katika kongamano hilo makamanda Joseph Mbilinyi, John Heche, Susan Kiwanga, Ezekiel Wenje pia kwa njia ya mtandao makamu mwenyekiti CHADEMA bara Tundu Lissu na Godbless Lema watashiriki

Mkuu update....nasikia Iringa imetetemeka
 
10 December 2022
Iringa, Tanzania

VIONGOZI WALIVYOWASILI KUHUDHURIA KONGAMANO : MBILINYI aka SUGU, HECHE, KIWANGA ...

 
10 December 2022

Hotuba ya kiongozi CHADEMA mkoa wa Iringa kamanda Mungai



Sababu ya ughali wa maisha chini ya utawala wa CCM, ufanisi mdogo sana wa bandari zetu Tanzania, bandari za Dubai wanawe nini tatizo Banadari zetu, tozo na kodi kubwa za serikali ya CCM ni kikwazo ...
 
Back
Top Bottom