Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HakikaCHADEMA ni kama maji, usipoyaoga basi utayanywa. Hakuna namna unaweza kuizuia CHADEMA au kuuzuia upepo wa Katiba mpya kwa sasa hapa Tanzania.
Mbona wamechoka sana hawa Bawacha NyumbuzzAwali kulitokea taarifa kwamba Polisi wamezingira ofisi za kanda , lakini baadaye taarifa hiyo ilikanushwa , hivyo kongamano hilo liliendelea kama ilivyopangwa na kuhudhuriwa na wakina mama wengi mno !
CHADEMA NA WANANCHI , CCM NA POLISI
View attachment 1992380
View attachment 1992394
Mwendo mdundoCHADEMA ni kama maji, usipoyaoga basi utayanywa. Hakuna namna unaweza kuizuia CHADEMA au kuuzuia upepo wa Katiba mpya kwa sasa hapa Tanzania.
KabisaUkiona hivyo jua kuwa yule malkia Yezebeli amekataliwa katika ardhi ya Tanzania.
Ukisikia wanyonge ndio Hawa sasa,sio wanyonge halafu Wana vitambi.Mbona wamechoka sana hawa Bawacha Nyumbuzz
Askofu wenu Mwamakula mbona analalamika pia Mshana JrHakika
Unajua watu ambao wanakusanyika kwa gharama zao nitofauti na wale ambao wanakusanyika kwa kupelekewa malori na ahadi za vitu kama kutakua na wali maharage,mikopo itakuwepo na fulana pamoja na kofia zitatolewa bure.Hao ndo wengi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli kama mkubwa wao anashikiliwa na mwingine akapewa ulemavu ungekua wewe usingeshikilia ndala ndugu?Yani hapo ndala zao walikua wameshika mikononi Tayari kwa mbio
Mungu ibariki ChademaHiki chama bana!
Kinapitia mateso kibao,
Kesi kila kona,
Watu wake wanakamatwa kila siku.
Hakina hela za kuwapa watu wake,hakuna ubwabwa,hakuna kapelo wala fulani.ukitaka hivyo jinunulie,na watu kweli wananunua.
Mwenyekiti wake anatuhumiwa kuwapa watu watatu pesa Ili wakate miti kutoka Moro mpaka Iringa,
Anatuhumiwa kwa Ugaidi wa kutaka kuua viongozi,(Sabaya)
Anatuhumiwa kutaka kuchoma Sheli nchi nzima.
Hakiruhusiwi kufanya mikutano.
Baadhi ya viongozi wake wananunuliwa na kukiacha.
Lakini watu wanakipenda,wanakomaa nacho hivyohivyo.
Aisee ukisikia mahaba ndo haya sasa.
Hivi watu wengi mno, wanaanzia 7 mpaka 11 hivi?Awali kulitokea taarifa kwamba Polisi wamezingira ofisi za kanda , lakini baadaye taarifa hiyo ilikanushwa , hivyo kongamano hilo liliendelea kama ilivyopangwa na kuhudhuriwa na wakina mama wengi mno !
CHADEMA NA WANANCHI , CCM NA POLISI
View attachment 1992380
View attachment 1992394
Awali kulitokea taarifa kwamba Polisi wamezingira ofisi za kanda , lakini baadaye taarifa hiyo ilikanushwa , hivyo kongamano hilo liliendelea kama ilivyopangwa na kuhudhuriwa na wakina mama wengi mno !
CHADEMA NA WANANCHI , CCM NA POLISI
View attachment 1992380
View attachment 1992394
Hao kadhaa ndio wengi mno?