Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Unajua maana ya utitiri lakini, au ndio yaleyale ya "jiji zima limetikisika"?Awali kulitokea taarifa kwamba Polisi wamezingira ofisi za kanda , lakini baadaye taarifa hiyo ilikanushwa , hivyo kongamano hilo liliendelea kama ilivyopangwa na kuhudhuriwa na wakina mama wengi mno !
CHADEMA NA WANANCHI , CCM NA POLISI
View attachment 1992380
View attachment 1992394