Kongamano la Katiba Mpya la BAWACHA latikisa Jiji la Mbeya , watu wengi kama utitiri

Kongamano la Katiba Mpya la BAWACHA latikisa Jiji la Mbeya , watu wengi kama utitiri

Awali kulitokea taarifa kwamba Polisi wamezingira ofisi za kanda , lakini baadaye taarifa hiyo ilikanushwa , hivyo kongamano hilo liliendelea kama ilivyopangwa na kuhudhuriwa na wakina mama wengi mno !

CHADEMA NA WANANCHI , CCM NA POLISI

View attachment 1992380

View attachment 1992394
Unajua maana ya utitiri lakini, au ndio yaleyale ya "jiji zima limetikisika"?
 
Unajua watu ambao wanakusanyika kwa gharama zao nitofauti na wale ambao wanakusanyika kwa kupelekewa malori na ahadi za vitu kama kutakua na wali maharage,mikopo itakuwepo na fulana pamoja na kofia zitatolewa bure.
Hao wamekuja kwa hisia zao.
Jipe moyo.
 
Mungu ibariki Chadema
Ni chama kilichopendekezwa na Mungu kuja kuwakomboa WATANZANIA.
Siongei ushabiki,
Nakuhakikishia kuwa ,katika hali ya kawaida chama hiki kinaviziwa kuuliwa na CCM,ikisaidiwa na mihimili yote ya dola pamoja na idara zake,hususa vyombo vya dola,na vile vyenye kuheshimika kabisa hapa Duniani.
Lakini chama ndo kinazidi kusambaa tu.
Hizi sio Tabia za kibinadamu, ni Tabia zenye baraka ya Mungu.
Mungu akikuinua hata wakushushe vipi watashindwa tuu..
Hiki chama imeshindikana kukiua,imebaki wanakufa wao.
 
Ni chama kilichopendekezwa na Mungu kuja kuwakomboa WATANZANIA.
Siongei ushabiki,
Nakuhakikishia kuwa ,katika hali ya kawaida chama hiki kinaviziwa kuuliwa na CCM,ikisaidiwa na mihimili yote ya dola pamoja na idara zake,hususa vyombo vya dola,na vile vyenye kuheshimika kabisa hapa Duniani.
Lakini chama ndo kinazidi kusambaa tu.
Hizi sio Tabia za kibinadamu, ni Tabia zenye baraka ya Mungu.
Mungu akikuinua hata wakushushe vipi watashindwa tuu..
Hiki chama imeshindikana kukiua,imebaki wanakufa wao.
Wanakufa wao...cheki line ya juu walivopukutika ila wanaoteswa na kufungwa hata kupigwa mitutu bado wanaishi. Hapa kuna funzo ila Mungu amewapa upofu mpaka unabii utimie
 
Chapeni kazi wakuu, huku tukiendelea kumuunga mkono Mama katika juhudi zake za kufuta ushamba kwenye brains za watanzania uliopandikizwa kwa miaka 5 iliyopita
 
Back
Top Bottom