Kongamano la Katiba Mpya la BAWACHA latikisa Jiji la Mbeya , watu wengi kama utitiri

Kongamano la Katiba Mpya la BAWACHA latikisa Jiji la Mbeya , watu wengi kama utitiri

Hao ni raia wema waliojigharimia wenyewe,hakuna posho wala usafiri.
Ingekuwa ccm watumishi,wanafunzi na makundi mbalimbali wangesafirishwa kujaza uwanja
 
Hao ni raia wema waliojigharimia wenyewe,hakuna posho wala usafiri.
Ingekuwa ccm watumishi,wanafunzi na makundi mbalimbali wangesafirishwa kujaza uwanja
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Awali kulitokea taarifa kwamba Polisi wamezingira ofisi za kanda , lakini baadaye taarifa hiyo ilikanushwa , hivyo kongamano hilo liliendelea kama ilivyopangwa na kuhudhuriwa na wakina mama wengi mno !

CHADEMA NA WANANCHI , CCM NA POLISI

View attachment 1992380

View attachment 1992394

Kweli CHADEMA ni kiboko cha viongozi wa CCM waliopanga njama chafu kukitokomeza, lakini ndiyo kwanza kinazidi kuimarika pamoja na mashambulizi ovu ya miaka 6 ya awamu za 5 na 6 za CCM dhidi ya CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA).
 
Awali kulitokea taarifa kwamba Polisi wamezingira ofisi za kanda , lakini baadaye taarifa hiyo ilikanushwa , hivyo kongamano hilo liliendelea kama ilivyopangwa na kuhudhuriwa na wakina mama wengi mno !

CHADEMA NA WANANCHI , CCM NA POLISI

View attachment 1992380

View attachment 1992394
Wananchi wameamua. Mwaka huu hawadanganyiki.

Madhara na athari za utawala wa kidikiteta qa Magufuli yamepelekea mabadiliko makubwa sana kwenye fikra za watanzania
 
Kweli CHADEMA ni kiboko cha viongozi wa CCM waliopanga njama chafu kukitokomeza, lakini ndiyo kwanza kinazidi kuimarika pamoja na mashambulizi ovu ya miaka 6 ya awamu za 5 na 6 za CCM dhidi ya CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA).
Chama kinazidi kushamiri kama mchicha kwenye chemi chemi za maji
 
Awali kulitokea taarifa kwamba Polisi wamezingira ofisi za kanda , lakini baadaye taarifa hiyo ilikanushwa , hivyo kongamano hilo liliendelea kama ilivyopangwa na kuhudhuriwa na wakina mama wengi mno !

CHADEMA NA WANANCHI , CCM NA POLISI

View attachment 1992380

View attachment 1992394
Yule mcheza mziki kama anang'atwa na siafu a.k.a second speaker akiona hivi anajisikiaje?
 
Hiki chama bana!

Kinapitia mateso kibao,
Kesi kila kona,
Watu wake wanakamatwa kila siku.
Hakina hela za kuwapa watu wake,hakuna ubwabwa,hakuna kapelo wala fulani.ukitaka hivyo jinunulie,na watu kweli wananunua.
Mwenyekiti wake anatuhumiwa kuwapa watu watatu pesa Ili wakate miti kutoka Moro mpaka Iringa,
Anatuhumiwa kwa Ugaidi wa kutaka kuua viongozi,(Sabaya)
Anatuhumiwa kutaka kuchoma Sheli nchi nzima.
Hakiruhusiwi kufanya mikutano.

Baadhi ya viongozi wake wananunuliwa na kukiacha.

Lakini watu wanakipenda,wanakomaa nacho hivyohivyo.
Aisee ukisikia mahaba ndo haya sasa.
Hiki ni zaidi ya chama cha siasa.
 
Watanzania wengi tunaugua ugonjwa wa Woga na Hofu isiyo na msingi hivyo tunaogopa kuunga mkono Haki na Usawa.

Huwa tunapenda kuungana na Wababe na na Madhulumati tukijiaminisha kuwa kuwa upande wa Wababe ni salama kwetu na familia zetu hata kama Wababe hao pia ni Madhulumati.

Kisha kutwa kucha tuko kwenye nyumba za ibada kumtukuza Mungu wa Haki asiyependa Dhulma.

Shetani na pepo la Unafiki huenda makao yake makuu yamehamia humu nchini!!

Tusipojirekebisha kizazi chetu siku yaja kitatoweke duniani!!

Haki hulisimamisha Taifa.
 
Hao kadhaa ndio wengi mno?
Pale ZuZU roho inaumia kwa wivu wa matyako wazi!
1635655839496.jpg
 
Watanzania wengi tunaugua ugonjwa wa Woga na Hofu isiyo na msingi hivyo tunaogopa kuunga mkono Haki na Usawa.

Huwa tunapenda kuungana na Wababe na na Madhulumati tukijiaminisha kuwa kuwa upande wa Wababe ni salama kwetu na familia zetu hata kama Wababe hao pia ni Madhulumati.

Kisha kutwa kucha tuko kwenye nyumba za ibada kumtukuza Mungu wa Haki asiyependa Dhulma.

Shetani na pepo la Unafiki huenda makao yake makuu yamehamia humu nchini!!

Tusipojirekebisha kizazi chetu siku yaja kitatoweke duniani!!

Haki hulisimamisha Taifa.
Hakika
 
Hiki chama bana!

Kinapitia mateso kibao,
Kesi kila kona,
Watu wake wanakamatwa kila siku.
Hakina hela za kuwapa watu wake,hakuna ubwabwa,hakuna kapelo wala fulani.ukitaka hivyo jinunulie,na watu kweli wananunua.
Mwenyekiti wake anatuhumiwa kuwapa watu watatu pesa Ili wakate miti kutoka Moro mpaka Iringa,
Anatuhumiwa kwa Ugaidi wa kutaka kuua viongozi,(Sabaya)
Anatuhumiwa kutaka kuchoma Sheli nchi nzima.
Hakiruhusiwi kufanya mikutano.

Baadhi ya viongozi wake wananunuliwa na kukiacha.

Lakini watu wanakipenda,wanakomaa nacho hivyohivyo.
Aisee ukisikia mahaba ndo haya sasa.
Ndiyo. "CHADEMA is in the peoples' hearts".
 
Back
Top Bottom