Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Unajua maana ya utitiri lakini, au ndio yaleyale ya "jiji zima limetikisika"?Awali kulitokea taarifa kwamba Polisi wamezingira ofisi za kanda , lakini baadaye taarifa hiyo ilikanushwa , hivyo kongamano hilo liliendelea kama ilivyopangwa na kuhudhuriwa na wakina mama wengi mno !
CHADEMA NA WANANCHI , CCM NA POLISI
View attachment 1992380
View attachment 1992394
Jipe moyo.Unajua watu ambao wanakusanyika kwa gharama zao nitofauti na wale ambao wanakusanyika kwa kupelekewa malori na ahadi za vitu kama kutakua na wali maharage,mikopo itakuwepo na fulana pamoja na kofia zitatolewa bure.
Hao wamekuja kwa hisia zao.
Ni chama kilichopendekezwa na Mungu kuja kuwakomboa WATANZANIA.Mungu ibariki Chadema
Utitiri ni wadudu wanaosumbua kuku.Unajua maana ya utitiri lakini, au ndio yaleyale ya "jiji zima limetikisika"?
Kwa hiyo hao hapo ni wadudu wanaosumbua kuku?Utitiri ni wadudu wanaosumbua kuku.
Mengine yanamwaga povuMaccm YAMENUNA! [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe magonjwa Mtambuka utapona lini ndugu?Kwa hiyo hao hapo ni wadudu wanaosumbua kuku?
Wanakufa wao...cheki line ya juu walivopukutika ila wanaoteswa na kufungwa hata kupigwa mitutu bado wanaishi. Hapa kuna funzo ila Mungu amewapa upofu mpaka unabii utimieNi chama kilichopendekezwa na Mungu kuja kuwakomboa WATANZANIA.
Siongei ushabiki,
Nakuhakikishia kuwa ,katika hali ya kawaida chama hiki kinaviziwa kuuliwa na CCM,ikisaidiwa na mihimili yote ya dola pamoja na idara zake,hususa vyombo vya dola,na vile vyenye kuheshimika kabisa hapa Duniani.
Lakini chama ndo kinazidi kusambaa tu.
Hizi sio Tabia za kibinadamu, ni Tabia zenye baraka ya Mungu.
Mungu akikuinua hata wakushushe vipi watashindwa tuu..
Hiki chama imeshindikana kukiua,imebaki wanakufa wao.
SwadaktaWanakufa wao...cheki line ya juu walivopukutika ila wanaoteswa na kufungwa hata kupigwa mitutu bado wanaishi. Hapa kuna funzo ila Mungu amewapa upofu mpaka unabii utimie
Siponi. Una swali lingine?Wewe magonjwa Mtambuka utapona lini ndugu?
Mbona umeugua mda mrefu?
NinaloSiponi. Una swali lingine?
Weka hapa ujibiwe.Ninalo
Ungeandika tofauti na hiki ningeshangaaHao kadhaa ndio wengi mno?
Hivi ni kweli huwa mnakabidhi Akili zenu ofisi ya CCM Lumumba?Weka hapa ujibiwe.
Si kweli.Hivi ni kweli huwa mnakabidhi Akili zenu ofisi ya CCM Lumumba?...
Sioni anachofutaChapeni kazi wakuu, huku tukiendelea kumuunga mkono Mama katika juhudi zake za kufuta ushamba kwenye brains za watanzania uliopandikizwa kwa miaka 5 iliyopita