Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwa kutumia kifungu gani cha katiba ?Mmepiga hodi kwa RPC?
Kongamano ni la watu wote akiwemo Diallo akipendaDiallo anatamani aje
Chanel gani tutapata mbushara?
Fanyeni mpango iwe mbubashara tuwarushie malipo ya airtime
Karibu kwenye kongamano , nitahakikisha unapewa mic ili utoe dukuduku lako , chadema haina ubaguzihivi hata mkipewa hiyo katiba mpya mnategemea muifanyie nini maana hatuko tayari kukabizi taifa kwa machizi kama nyie mtatuangamiza kabisa tuachieni amani yetu
siwezi kuingia kwenye genge la kihuni kama hilo yapo makongamano ya kwenda siyo hilo unampa mtu kama mdude aongee yaani hao ndiyo mmeona viongozi na walioshindwa kuhubiri wakakimbilia siasa mwisho wanaenda kuitwa vidole vya matakomahabusu siwezi huo ujingaKaribu kwenye kongamano , nitahakikisha unapewa mic ili utoe dukuduku lako , chadema haina ubaguzi
Tena ndio siku nzuri sana hiyoKesho ni Sikukuu ya waislamu yaani Eid El haj.
Nawakumbusheni tu bwashee.
Kumbe katiba ipo?!Kwa kutumia kifungu gani cha katiba ?
Lingine lifanyike 25 December!Tena ndio siku nzuri sana hiyo
Wewe ambaye unashindwa kuandika hata sentensi moja ya Kiswahili, unaamini tayari umekwishakuwa na akili ya kuhoji?hivi hata mkipewa hiyo katiba mpya mnategemea muifanyie nini maana hatuko tayari kukabizi taifa kwa machizi kama nyie mtatuangamiza kabisa tuachieni amani yetu
hapo tu unaonyesha ni jinsi gani ulivyo bwabwa ndiyo nini hiyo?Elimu ya watu wa waziwa EWW ilifutwa
Kwa sababu upeo wako ni mdogo huelewi ni nini huelewi!! Mungu akusaidie upate hekima japo ndogo sana ili angalao uweze kutafuta ulichopungukiwa.hapo tu unaonyesha ni jinsi gani ulivyo bwabwa ndiyo nini hiyo?
sibishanagi na mashoga sioni hata hoja yako inamaana gani kakojoe ukalale kima weeeKwa sababu upeo wako ni mdogo huelewi ni nini huelewi!! Mungu akusaidie upate hekima japo ndogo sana ili angalao uweze kutafuta ulichopungukiwa.