Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Wao wanasemaje kuhusu kodi na tozo!?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba Mpya haikwepeki. Itacheleweshwa tuHii ndio taarifa mpya iliyotolewa na CHADEMA .
Kwa wote watakaohudhuria ni muhimu sana kufuata mwongozo wa WHO wa kujikinga na ugonjwa hatari wa Corona
View attachment 1860710
=====
Maandalizi yote yamekamilika , Viti vimepangwa kwa kufuata maelekezo ya WHO
View attachment 1861263
Katiba utaisoma vizuri ukiwa hapo Bugando miguu imefungwa vyumaKwa kutumia kifungu gani cha katiba ?
Katiba mpya itakuwepo aidha Wananchi wakitaka au CCM wakiamua. Ninyi wengine ni wapiga kelele tu kwasababu hamna la kufanya!!!Hii ndio taarifa mpya iliyotolewa na CHADEMA .
Kwa wote watakaohudhuria ni muhimu sana kufuata mwongozo wa WHO wa kujikinga na ugonjwa hatari wa Corona
View attachment 1860710
=====
Maandalizi yote yamekamilika , Viti vimepangwa kwa kufuata maelekezo ya WHO
View attachment 1861263
Usimuamshe aliyelalakanda ya ziwa ina watu aggressive ambao wakiamua kufanya jambo wanafanya, nadhani MARA, MWANZA, KAGERA ni mkakati mkubwa sana.....
Sisi tuna watuKatiba mpya itakuwepo aidha Wananchi wakitaka au CCM wakiamua. Ninyi wengine ni wapiga kelele tu kwasababu hamna la kufanya!!!
Kulipa gharama kwa ajili ya haki haijawahi kuwa mkosi
Haki ???Kulipa gharama kwa ajili ya haki haijawahi kuwa mkosi
Nchi hii Kuna watu viongozi mazombi kweli , Rais wa nchi kashasema chanjo ni hiyari yeye anataka iwe lazima kwa watu wote! Huyu poyoyo kweli! Hali hiyo hajachukua nchi! Jelebesi mkubwa@@....[emoji51][emoji51]++#**Shwaini.
Mwl. Nyerere aliwahi kusema, "...I can't let my country go to the dogs...!" Ahahahahahhhha, Mwl. Nyerere buana!!!hivi hata mkipewa hiyo katiba mpya mnategemea muifanyie nini maana hatuko tayari kukabizi taifa kwa machizi kama nyie mtatuangamiza kabisa tuachieni amani yetu