yaani mpaka sasahivi huoni ulicho kiandikakama kiko sawa? kweli kupigwa nyuma kumekuathirisana acha huo mchezo akili irudi sawasawaKwa sababu upeo wako ni mdogo huelewi ni nini huelewi!! Mungu akusaidie upate hekima japo ndogo sana ili angalao uweze kutafuta ulichopungukiwa.
eti lime edit kampikie mumeo huko huwezi kubishana na wanaumeKwa sababu upeo wako ni mdogo huelewi ni nini huelewi!! Mungu akusaidie upate hekima japo ndogo sana ili angalao uweze kutafuta ulichopungukiwa.
Wewe sio sisi.Katiba mpya itapatikana wewe na Mimi twaweza kuwa tumekufa kwa corona.hivi hata mkipewa hiyo katiba mpya mnategemea muifanyie nini maana hatuko tayari kukabizi taifa kwa machizi kama nyie mtatuangamiza kabisa tuachieni amani yetu
kila mtu atakufa kivyake pengine hapo ulipo una ukimwi je?Wewe sio sisi.Katiba mpya itapatikana wewe na Mimi twaweza kuwa tumekufa kwa corona.
hujawai kubishana na mtu huwa unatukana tu- unawezaje bishana wakati hoja yako kuu ni matusi mkuu HUWEZI.sibishanagi na mashoga sioni hata hoja yako inamaana gani kakojoe ukalale kima weee
hilo mwambie PengoLingine lifanyike 25 December!
unabishanaje na mwehu ?hujawai kubishana na mtu huwa unatukana tu- unawezaje bishana wakati hoja yako kuu ni matusi mkuu HUWEZI.
Mwendawazimu hata atukane vipi, anasamehewa kutokana na uwendawazimu uliompata.yaani mpaka sasahivi huoni ulicho kiandikakama kiko sawa? kweli kupigwa nyuma kumekuathirisana acha huo mchezo akili irudi sawasawa
siwezi kuingia kwenye genge la kihuni kama hilo yapo makongamano ya kwenda siyo hilo unampa mtu kama mdude aongee yaani hao ndiyo mmeona viongozi na walioshindwa kuhubiri wakakimbilia siasa mwisho wanaenda kuitwa vidole vya matakomahabusu siwezi huo ujinga
Hata hao waliopo sasa, katiba mpya itawaongoza kufanya vizuri tofauti na sasahivi hata mkipewa hiyo katiba mpya mnategemea muifanyie nini maana hatuko tayari kukabizi taifa kwa machizi kama nyie mtatuangamiza kabisa tuachieni amani yetu
ungekuwa sawa unge edit? shoga weweMwendawazimu hata atukane vipi, anasamehewa kutokana na uwendawazimu uliompata.
Kama umgonjwa, Mungu akujalie uponyaji. Kama ni mzima lakini unajifanya mwendawazimu, laana ya Mingu iishi nawe na kizazi chako.
wee chadema hawafuati ya kwao wanalazimisha ya nchi walaaniweKatiba mpya ya chadema ππππ
Ukishaona jina la iboya.usichangieKama ukoko huo uliokujaa kichwani unakutuma kusema uliyosema, nakubaliana nawe - usiende! Lakini nikukosoe - taifa ni zaidi ya mdude! Ni zaidi ya wewe au mimi! Taifa ni zaidi ya Chadema na CCM. Maneno uliyotoa hayajengi!!
Itakuwa hata hawajui kama jumatano ni Eid.Kesho ni Sikukuu ya waislamu yaani Eid El haj.
Nawakumbusheni tu bwashee.
Hawa wamepima maji kwa mguu, Ila angalizo tu, Rais huwa hajaribiwi na kiti kilisema msimjarib, na yy na magu ni kitu hiki[emoji16][emoji16][emoji16] naona mbowe ameona maji yanaweza kusongewa ugari, ila baba jiandae usije kukosa mguu ukasema nilikuwa napigania katiba...Hii ndio taarifa mpya iliyotolewa na CHADEMA .
Kwa wote watakaohudhuria ni muhimu sana kufuata mwongozo wa WHO wa kujikinga na ugonjwa hatari wa Corona
View attachment 1860710