Kongamano la Katiba Mpya lililovurugwa na Polisi Mwanza, Kufanyika Jumatano 21/7/2021

Katiba mpya itakuwepo aidha Wananchi wakitaka au CCM wakiamua. Ninyi wengine ni wapiga kelele tu kwasababu hamna la kufanya!!!
 
 
hivi hata mkipewa hiyo katiba mpya mnategemea muifanyie nini maana hatuko tayari kukabizi taifa kwa machizi kama nyie mtatuangamiza kabisa tuachieni amani yetu
Mwl. Nyerere aliwahi kusema, "...I can't let my country go to the dogs...!" Ahahahahahhhha, Mwl. Nyerere buana!!!
 
Wakikaidi wapigwe tu... Hakuna namna nyingine, wapigwe kweli kweli. Huku sie tutachanga pesa na damu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…