Muda haotoshi nadhani kungewekwa vipindi kila week kwa mwezi mzima wa january
Muda haotoshi nadhani kungewekwa vipindi kila week kwa mwezi mzima wa january
Umenena. Nkurumah uwe mwanzo tu. Kimsingi kinachotakiwa ni katiba kusomwa yote hadharani ukurasa baada ya ukurasa kila siku kupitia radio na televisheni. Magazeti nayo yasibaki nyuma katika kuichapisha katiba yote katika magazeti yao.
Binafsi napitia kipengere kwa kipengere kwa katiba yetu pamoja na marekebisho yote! Ni aibu raisi yuko juu ya kila kitu
Kipengere ni jina la milima huko kusini mwa Tanzania.
Vilivyomo kwenye Katiba ni vepengele.
Tukutane, pamoja na wanaJF wote (wenye mapenzi mema na nchi ya Tanzania kwa VITENDO sio maneno mengi) hapo Nkrumah siku na muda tajwa. Ni muda wa kuacha kuandikia mate.
Binafsi napitia kipengele kwa kipengele kwa katiba yetu pamoja na marekebisho yote! Ni aibu raisi yuko juu ya kila kitu
Kipengere ni jina la milima huko kusini mwa Tanzania.
Vilivyomo kwenye Katiba ni vepengele.
Sasa Mkuu Uwiano yaani unarekebisha halafu unaboronga tena. Sio Vepengele ni Vipengele.
Back to the topic, mchungaji ahsante kwa taarifa na tunaamini utakuwa ni mwanzo mzuri na hatimaye kelele za chura zitamwamsha mwenye nyumba, ama atufukuze au akaushe maji vyura tuhamie kwenye maji
Kipengere ni jina la milima huko kusini mwa Tanzania.
Vilivyomo kwenye Katiba ni vepengele.
Tukutane, pamoja na wanaJF wote (wenye mapenzi mema na nchi ya Tanzania kwa VITENDO sio maneno mengi) hapo Nkrumah siku na muda tajwa. Ni muda wa kuacha kuandikia mate.
Haya Mkuu wa vepengele nitajitahidi niwepo.
Siku hiyo Nkrumah nahisi patakuwa hapatoshi!
Ingewezekana hilo kongamano lifanyikie uwanja wa Jangwani --yaani iwe ni kama mkutano wa hadhara vile maana ni kweli nkurumah haitatosha.