Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Mtapigwa mchakae
Kule sio Ikwiriri
Kuwa na silaha ni jambo Moja na kuwa na uwezo na mbinu za medani ni jambo tofauti.Ujue ww ni tahira kbs south anatengeneza mpk magari vita anauzia mpk marekani south anatengeneza mpk helcopter za kivita uje uwalinganishe na wapasua matofari wny siraha za miaka ya 1920 ww siyo timamu ww vita ni tech nowdays sa jw wana tech ipi
😹😹😹 Kule vyuma vinalia sio huku mnakotutisha kuvunja matofali taifa ohhh..!!Wewe mwanike wale kwetu sisi ni mapema tu
Haitokaa itokee, eneonla nchi kuuzwa kama mkate. So stop hizo wishful thinkingAmani iwe kwenu
Nimewaza mbali sana
Lakini kuwaza kwangu kote huwa sipend kabisa kuona mtu akiteseka bila sababu
Mateso ya watu wa Kongo wananiumiza sana
Sasa nimekuja na suluhisho moja tu na suluhisho hilo moja tu linaenda kutamatisha hii vita ndan ya dakika mbili tu
Watu wa kongo na goma wakubali kuwa watanzania na Kisha goma iuuzwe kwa TANZANIA Kisha Tanzania imalize show mara moja kibabe sana
Kisha JW iingie mzigon kupambana na hawa wahuni
Very simple
LONDON BOY
Tulia wewe vita so ugaliTukiamua hii Rwanda tunafika kigali masaa mawili tu
Kwahiyo kagame anauwezo wa kupambana na JW na akashinda?
Usibishane na mbumbumbu mkuu. South wanatengeneza helicopter, apc, nkDuh,
Una uthibitisho wowote?
Kwa mujibu wa GLOBAL FIREPOWER, orodha ya nguvu ya majeshi Afrika kwa sasa inaonyesha kuwa Jeshi la South Africa ni namba 4 wakati JWTZ ni namba 15
African Military Strength (2025) https://search.app/75aC867zNcRYpCa56
Kwahiyo tsheked hawezi mbinu?Yule ni mtoto wa mjini
Anazijua mbinu kitambo
Saahizi husikii tena watu wakichinjwa kanisani
Ikwilil hakukua na vitaMtapigwa mchakae
Kule sio Ikwiriri
actually, kuna mtu anaongea hapa pembeni yangu kama utani, ati kwanini Tanzania na sisi tusijitwalie kaeneo huku mashariki, rwanda juu yake na uganda kipande ingine ili kupunguza hili linchi kubwa linalowashinda kumanage. ni utani tu lakini.Amani iwe kwenu
Nimewaza mbali sana
Lakini kuwaza kwangu kote huwa sipend kabisa kuona mtu akiteseka bila sababu
Mateso ya watu wa Kongo wananiumiza sana
Sasa nimekuja na suluhisho moja tu na suluhisho hilo moja tu linaenda kutamatisha hii vita ndan ya dakika mbili tu
Watu wa kongo na goma wakubali kuwa watanzania na Kisha goma iuuzwe kwa TANZANIA Kisha Tanzania imalize show mara moja kibabe sana
Kisha JW iingie mzigon kupambana na hawa wahuni
Very simple
LONDON BOY
Tahira lingne humu ni wewe dubuwasha la ccm tuanze hapo kwa taleban vs marekani hvi siraha alizonazo marekan wangekuwa nazo taleban unadhan nn wangefanya kama si kumaliza mpk sisimizi ktu ambacho marekan wanaojali haki za bnadamu kwa kias fulan taleban walikuwa wanapgana vita kwa kuvizia wakiwa wamejifcha kwa raia wema ulitaka marekan aue watu wote wa afghanstan ksa taleban wamo katikati yao? Kama wao walikuwa na mbinu why wasngepgana vita ya live bila kujfcha khs hamas hao ndo usiwazungumzie kbs yan yale ndo takataka kbs sina haja hata ya kuwazungumzia khs russia na nduguye ukraine ile ndo vita sasa maana ni jeshi kwa jeshi hakuna kuviziana katikati ya raia wema wala kujifcha kwny mashimo kama mijusi nadhan ww unawadharau ukraine utambue wanapewa siraha kali na ulaya na marekani vngnevyo putin angekuwa yupo ikulu ya ukraine anapga vodca sku nyng snKuwa na silaha ni jambo Moja na kuwa na uwezo na mbinu za medani ni jambo tofauti.
Taleban vs USA
Hamas vs IDF
Russia vs Ukraine
Sisi ustarabu mwingi sana mkuuactually, kuna mtu anaongea hapa pembeni yangu kama utani, ati kwanini Tanzania na sisi tusijitwalie kaeneo huku mashariki, rwanda juu yake na uganda kipande ingine ili kupunguza hili linchi kubwa linalowashinda kumanage. ni utani tu lakini.