Kongole kwa uongozi wa mkoa Shinyanga kwa kuwafurusha madada poa

Kongole kwa uongozi wa mkoa Shinyanga kwa kuwafurusha madada poa

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Ni majumaa kadhaa nyuma nileta Uzi wa kuelezea jinsi biashara ya kuuza miili kwa wadada inavyofanywa hapa Shinyanga ktk eneo la Relini.

Nilikuja Shy na kukaa kama wiki 1 tu hivi awali, then wiki hii nimerejea tena kikazi vile vile, nikapita eneo lile ambalo ni kuna njia fupi ya kutokea kata ya Ngokolo kwenda mitaa ya Ibiza mata.

Safari nilikuta eneo ni shwari tofauti na nilivyopita kwa mara ya kwanza ambapo nilikutana na lundo la dadapoa wanaouza miili kwa bei ya kutupa kabisaa tena wakijinadi kwa 2000Tsh hafi 1500Tsh , safari huwezi amini niliwaona vidada viwili tu ambao na wenyewe walikuwa wana wasiwasi.

Nikadadisi kwa wenyeji vijana waendesha baiskeli pale Ibizamata ndipo, wakasema kulifanyika safisha safisha ya machangudoa, hakika mnastahili pongezi, Serikali ngazi ya mkoa, wilaya na wananchi kwa ujumla wenu.
 
Hiyo biashara haikomi,hata KIRUMBA POLISI wakichachamaa malaya huwa wanapotea kwa muda,Ila biashara hii kuna watendaji wa serikali wananufaika nayo kwa kupokea fungu la kumi kutoka kwa dadapoa
 
× Hao ni watu muhimu sana.
× Wanalea ndoa nyingi sana hasa maeneo ya mijini. Mke akizingua unakimbilia huko kujipooza maisha yanaenda.
× Ukichunguza ubakaji mwingi upo zaidi vijijini ukilinganisha na mijini.
× Wanapunguza sana ubakaji na watu kuparamia vitoto vidogo.
 
Hiyo biashara ipo tangu enzi za mitume, inasaidia kupunguza maambukizi ya HIV.
 
Ni majumaa kadhaa nyuma nileta Uzi wa kuelezea jinsi biashara ya kuuza miili kwa wadada inavyo fanywa hapa shinyanga ktk eneo la Relini

Nilikuja Shy na kukaa kama wiki 1 tu ivi awali, then wiki hii nimerejea tena kikazi vile vile, nikapita eneo lile amnalo ni kuna njia fupi ya kutokea kata ya Ngokolo kwenda mitaa ya Ibiza mata

Safari nilikuta eneo ni shwari tofauti na nilivyo pita kwa mara ya kwanza ambapo nilikutana na lundomla dadapoa wanao Uza miili kwa bei ya kutupa kabisaa tena wakijinadi kwa 2000Tsh hafi 1500Tsh , safari huwezi amini niliwaona vidada viwili tu amnao na wenyewe walikuwa wana wasiwasi ...

Nikadadisi kwa waenyeji vijana waendeaha baiskeli pale ibizamata ndipo, wakasema kulifanyika safisha safisha ya machangudoa, hakika mnasthili pongezi, Serikali ngazi ya mkoa, wilaya na wanachi kwa ujumla wenu
Pamoja na pongezi pia toa wito kwa serikali kuangalia sababu zinapelekea hao kina dada kujiuza ukifatilia wengi ni kwa sababu ya ugumu wa maisha kwaiyo ilo lisipotatuliwa hao dada poa soon or later watarudi tu
 
Subiri watoto zenu waanza kubakwa ndio mtajua umuhimu wa hiyo biashara. Ngono ni kama chakula, mtu akikosa anaweza kula hata majani...
 
Back
Top Bottom