Kongole kwa uongozi wa mkoa Shinyanga kwa kuwafurusha madada poa

Usijisifie sana wapo waliosomeshwa na kukuzwa na hao hao.
Agreed nawe 100%,hawa middle class wetu ni shida tupu, sasa anakuja na uzi wa kusifia kuondolewa kwa ladies of the night, hakuna kilichofanyika hapo ,hao wamesukumwa from point A to B,kabla ya Kuja na wazo la kiutafiti why kuna wanawake wengi wanaofanya biashara hiyo mtoa hoja anademka na kuondolewa kwao,nilitegemea nisikie RC kaja na wazo la kuwawezesha akina dada hawa ili wajiajiri wenyewe, na pia tuelewe kuwa hawavunji sheria kuwepo pale
 
Dada poa wanafaida kubwa sana

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Toka nimepata uhakika wa kula ile kitu....kujiamini kumeongezeka, utendaji kazi umeongezeka yaani nafanya kazi kwa ufanisi......papuchi ni kitu kizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…