misimajumbasita
Senior Member
- Jun 10, 2018
- 157
- 273
Pongezi kwako kwa maamuzi hayo ya kuwa mtangazaji bado ni fursa nzuri naomba nikutakie heri na wanaJF tumtakie heri mbunge huyu mstaafu wa Mikumi.
--
Clouds kupitia mitandao ya kijamii wameandika haya
Jana kwenye mitandao yetu ya kijamii tulisema leo kwenye #PowerBreakFast kwa mara ya kwanza utasikia sauti ya usajili mpya... Ladies and gentlemen na huyu @ProfessorJayTz ndiyo usajili mpya ndani ya PB.
--
Clouds kupitia mitandao ya kijamii wameandika haya
Jana kwenye mitandao yetu ya kijamii tulisema leo kwenye #PowerBreakFast kwa mara ya kwanza utasikia sauti ya usajili mpya... Ladies and gentlemen na huyu @ProfessorJayTz ndiyo usajili mpya ndani ya PB.