KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Kwa iyo anahamia dar, afu wakati wa uchaguzi anahamia Moro?Kwa upande mmoja nimpe pongezi kwa maamuzi binafsi ya kwenda kuwa mtangazaji clouds.
Ila kwa upande mwingine wa kwangu binafsi simpi pongezi kwa uamuzi aliofanya. Kwa level yake na hassle ya mda mrefu aliyofanya, mpaka kufikia kuwa mbunge, ametengeneza brand kubwa sana.
Nilitegemea atengeze ajira kwa vijana na angalau afungue redio yake binafsi! Kwa brand yake nina uhakika ingefanya vizuri sana.
Angekuwa amefanya la maana sana kuliko kwenda kuishi kwa masharti ya mwisho wa mwezi na kufanyia kazi mawazo ya mtu.
Profesa Jay,wee ni brand kubwa hebu jiongeze zaidi, acha hizo, wee ni role model wa vijana wengi, usiwaangushe!!
Kama vile Steve Nyerere na Massanja wapo Dar sasa ivi, wanasubiri uchaguzi mwezi mmoja kabla waende Iringa na kuanza kuhudhuria misiba.