Kongole kwenu viongozi kwa hili; Walichokuwa wanakifanya machinga ni utapeli, uchafuzi na kero

Ninaunga mkono hoja, lakini, mimi shukrani zangu ninazihifadhi hadi uchaguzi ujao utakapopita.

Maana tushazoea swaga hizi
 
Linalofanyika sasa lisingoje kesho
Tulifunzwa pia kuwa baadhi ya semi zina madhara. Wakati baadhi ya mambo kanuni hufanya kazi, yapo maeneo hufeli kulingana na hali ama mazingira ya wakati husika.
 
Chukua Konyagi ndogo apo kaunta na kaka kola.Bili iletwe kwangu
 
Tulifunzwa pia kuwa baadhi ya semi zina madhara. Wakati baadhi ya mambo kanuni hufanya kazi, yapo maeneo hufeli kulingana na hali ama mazingira ya wakati husika.
Sawa #Mtafit77
 
Kati ya post za kipumbavu nilizowahi kusoma hapa JF hii ni kiboko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…